Mshahara wa Barmaid

Mshahara wa Barmaid

Aisee mada imenigusa kwa historia lakini mtoa mada kaichafua pale anapoita mabaamaid public toilet au anapoandika kwamba hawakatai wakitongozwa inamaana hawana mamlaka na bongo zao,hawajitambui for sure that is sex harassment charge and very bad offence but all in all wengi wao wanafanya kazi kutokana na sababu mbalimbali so tusiwajudge mojamoja kwa moja ni useless tujaribu kuwajali tu show some love to them.. nakumbu
Nianze na mleta mada ambaye mimi nakuona una matatizo makubwa ya kisaikolojia (It's not an attack, fellow psychologists wanaofuatilia mada zako watanielewa).
Kwanza nakubaliana na wewe kwa ulichokieleza na katika maeneo mengine the situation is even worse, je umeshawahi jiuliza ni kwa nini wamefikia pale,umeshawahi kukaa nao(Sidhani) na kuongea nao.Na je umewahi kufikiria namna yoyote ya kuwasaidia!? Kifupi tu tambua kuwa hakuna binadamu anayependa kudhalilika na ukimuona mtu anadhalilika ili mkono uende kinywani sio wa kumlaumu na kumtukana bali kumhurumia na kuangalia namna ya kumsaidia, calling them a "public toilet" might be "nicier" to you lakini tambua kuwa wangependa waheshimiwe. Na kama una watoto OMBA MUNGU SANA.
 
Leo nimeamua kuwaletea huu uhalisia.

Bila shaka tunawajua dada zetu wanaotumika katika Bar mbalimbali maarufu na zile zisizo maarufu. Ulishawahi kujiuliza wanalipwa kiasi gani?

Juzi nilikuwa naongea na mwenye Bar hapa Dar akasema ni makubalino kabisa huwekwa kwamba atalipwa kwa siku kiasi cha sh 1500/= na kipato kingine ataongeza kwa kupat bwana.

Barmaid yeyote hawezi kumkataa mwanaume na kwa namna hiyo wanaingiza kati ya tshs 10,000/= hadi 100,000/= kwa siku kutegemeana na uzuri wake na kumfanya kuwa na mshahara usiopungua laki 3 kwa mwezi.

Siyo u.ke tena bali ni pubiliki toileti.

Labda ungetuelimisha zaidi na wale wahudumu wa kiume kwenye bar mbalimbali huwa wanatoa tigo kuongeza kipato? au ni nini malengo ya hii thread?
 
Back
Top Bottom