Recent content by Bikomabilioni

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini Serikali inamwogopa Lissu?

    Nikiwa kama mtanzania najisikia aibu kuwa na mwanasiasa na mwanasheria kama Tundu Lisu.akiwa kama mwanasiasa najisikia aibu kwa kuwa msaliti kwa kuitangaza vibaya nchi yake kwa maslahi yake binafsi, Pia najisikia aibu kuwa na mwanasheria anayetoa shutma za uzushi na zisizo na ushahidi kiasi...
  2. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: CCM na Ukatili wake vitaondolewa kwa Tufani

    wewe mtoa post na huyo Tundu Lisu wako mmechoka na amani tuliyonayo, kwa maana mnapozungumzia TUFANI maana yake ni kuvuruga amani, nasi watanzania hatuwataki waleta fujo nchini kwetu,kama ni tume huru bado kuna njia nyingi za kuidai kwa amani.lakini inaonyesha nia yenu si tume bali kuchafua...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aiogopa nchi yake ,aona heri aeleze aibu zake kwa majirani (Anajifedhehesha)

    huyu Jamaaa (lisu) anatafuta kiki kwa mabwana zake tu. na kama angetaka haki itendeke juu ya kushambuliwa kwake angerudi nyumbani ili asaidiane na vyombo vya usalama kutafuta wahalifu.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Ripoti ya Freedom House: Kenya yapanda juu ya Tanzania kwa 'uhuru wa kidemokrasia'. Tanzania yashuka Mara 7 ndani ya mwaka mmoja

    hizo report za wazungu lazima ziichafue Tanzania sembese na JPM anazidi kuwakazia mambo yao hayaendi soon watasema Tanzania hakuna uhuru wa kwenda chooni.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Ni wewe pekee na wenzako wasiopenda maendeleo ndio msiompenda, kwani kila anchokifanya ni katika kujenga misingi ya maendeleo yenye faida kwa watanzania wote,
  6. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania mbioni kuanza kutengeneza magari

     Kampuni ya Bosch kutoka Ujerumani inayojihusisha na masuala ya Teknolojia imeonesha nia ya kuwekeza nchini katika masuala ya ufumbuzi/kukuza Teknolojia kutokana na nchi kuwa fursa kubwa ya ukuaji wa teknolojia ikiwa pamoja na kuanzisha kiwanda cha kuunganisha vipuli vya magari (automotive...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashikilia nafasi ya 7 kwa kuvutia kwa uwekezaji Afrika

    HAYO WASEMA WEWE BILA SHAKA WEWE NI MENEJA MKUU WA HILO TAWI LA BANKI
  8. B

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashikilia nafasi ya 7 kwa kuvutia kwa uwekezaji Afrika

    Benki ya Rand Merchant (RMD), Benki ya huduma za kifedha ya Afrika Kusini imewasilisha orodha ya nchi 10 zinazovutia zaidi kwa wawekezaji mwaka 2019. Tanzania ni miongoni mwa nchi hizo ikiwa imeshika namba 7 kati ya nchi 10 zilizoainishwa. Hatuna budi kuipongeza serikali ya awamu ya tano kwa...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Kwa nini chadema wanamuona Muzungu ni mtu fair?

    true say mwamba,hakuna mtu mnafiki kama mzungu,ni vile watu tunajisahaulisha kwamba miaka ya tisini walitutawala na ku exploit mali zetu nyingi tu
  10. B

    JamiiForums Tanzania Msemaji mkuu wa Serikali: Taswira ya nchi Kimatifa ipo salama. Sio rahisi fedha ya Serikali kupotea awamu hii

    serikali ina mambo mengi ya msingi ya kueleza wananchi wake Tundu Lissu ni kama wananchi wengine wakawaida tu yaan ni kama nukta moja kwenye topic yenye page mia moja. watu acheni kutunga sentensi kutumia neno tangazo la msemaji mkuu wa serikali.
  11. B

    JamiiForums Tanzania CHADEMA itoe kwanza boriti kwenye jicho lake kabla haijatoa kibanzi kwenye jicho la mwenzie

    UFISADI ndani ya CHADEMA.....!!! Pesa hazikuingia kwenye akaunti ya CHADEMA, Mbowe kazipiga zote za wahisani kudadeki....ndo maana hataki kuachia uenyekiti wa chama hicho ili aendelee kunufaika
  12. B

    JamiiForums Tanzania Faida za Muswada mpya wa vyama vya Siasa

    kwa kweli hivi vyama vya siasa visipodhibitiwa mwisho wa siku vitageuka vikundi vya kiuhalifu.....na Mabeberu hutumia hivi hivi vyama kuleta vita ili kuweka kiongozi wanaemtaka na kuvuna rasilimali zetu..... LAZIMA MUSWADA UPITA KUWA NA NIDHAMU
  13. B

    JamiiForums Tanzania Ukiona Binadamu anakimbilia sana kwa Mwenyezi Mungu au Viongozi wa Dini jua lazima kuna haya yanayomsibu...

    Na hao wanaowakimbilia Wazungu je? tupe Utabiri wako GENTAMYCINE
  14. B

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Lissu asubiri Muziki wangu

    Nashindwa kumuelewa tundu lissu,kwani yupo kwenye matibabu au ziharani.huyu jamaa atakuwa anataka kutumiwa na ndio maana anachoulizwa yeye amemkazania rais magu na serikali yake ili asaidiwe na mataifa ya nje kupata uraisi.Lakini atambue hizo ndoto zake ni zake na wapigaji hela.Lakini sisi...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Bunge la Ujerumani: Serikali ya Tanzania inatakiwa kutafuta mbadala wa mabwawa kuzalisha Nishati ya Umeme

    yani hawa wazungungu ukimnyima tenda ya ukandarasi lazima alete majungu.....Uzuri watanzania Tumepata Rais Asiyetetereka na mwenye Maamuzi Magumu..wanampigia mbuzi gitaaa
Back
Top Bottom