Tutakua tunajidanganya kwa kusema kwamba nchi ipo salama!Unaamini kuwa great thinker wa JF ni kuandika against Magufuli.... Sijaona point ya maana hapa
Bado unaamini kuna mkubwa wa dunia... Omba mungu ili siku moja muzungu afutike kwenye brain yako
Maadui ndani ya chama wanakuhusu nn ukiwa si mwanachama wa CCM? Udaku
Diplomasia ya nje iliwahi kukusaidia nini toka uhuru?
Kutuma mwakilishi kuna shida gani?
Umejitengenezea matatizo mwenyewe kichwani kisha unayakuza kuwa matatizo ya nchi...
Nchi haipo salama, ipo katika hatari! Chuki inayopandikizwa sasa inatakiwa ivurugwe kabla haijamea.
Itakua ni jambo la ajabu unapokataa neno Mkubwa wa Dunia, hao tunaowaita mabeberu ndio hao tunaowakimbilia kuomba misaada.
Endelee kushupaza shingo.
Sent using Jamii Forums mobile app