Kwanini Serikali inamwogopa Lissu?

Kwanini Serikali inamwogopa Lissu?

Vijana wote wa CCM wamejazana humu kila kukicha wanaanzisha Topic za kumkashifu na kumsimanga Tundu Lissu, mtu asiye na hatia aliyepigwa risasi zaidi ya 10 na watu wanaoitwa "wasiojulikana " zilifyatuliwa risasi 38,kumi ndo zikampata.

Dada yangu Faizafox aliweka uzi humu wenye kuonyesha ni kiasi gani aliguswa na kushangazwa na tukio hilo japokuwa naye ni CCM member, dada huyu anadai hakutarajia Kama Tanzania anayoijua imefikia hapa.

Serikali ilikana kuhusika na tukio hilo, lakini serikali hiyo hiyo imejaa hofu juu ya huyu mtu.

Nilishangaa Sana, Balozi tena anayeiwakilisha nchi Ktk taifa kubwa kusigina kwenye Media na mtu aliyeonewa, serikali inadai kuchafuliwa na Tundu Lissu kimataifa.

Ukisikiliza mahojiano ya Tundu Lissu na international media hakuna sehemu yoyote anakoichafua serikali zaidi ya kulalamika Kwanini serikali haijawakamata wasiojulikana?

Eti hadi Dereva awepo, ina maana Kama Dereva angeuawa uchunguzi ungefungwa? mbona ni hoja ya kitoto Sana kutolewa na Jamhuri ?

Inanishangaza Sana ndugu zangu Mods kufumbia macho Topic zinazomwandama Tundu Lissu kwa kila aina ya kashfa.

Ni hao hao Vijana wa CCM waliojazana humu walifurahia sana wakati muasisi wa JF Maxence Melo alipokuwa akisota Segerea kwa kukataa kuwapa Police majina ya wakosoaji wa serikali.

Na leo hao hao wamejaza Topic kibao humu za kumkashifu Tundu Lissu na bado wanadunda JF.

Ule msemo "The guilty are always afraid " una jenga maana kubwa mno juu ya uoga wa serikali kwa Tundu Lissu.

Badala ya kuwatafuta watuhumiwa Serikali inatafuta wahanga wa tukio.

Asante Mungu Dereva Yupo Belgium, Taarifa za uhakika nilizonazo endapo Dereva angeenda kuhojiwa ni kwamba kibao kingemgeukia yeye, sasa hivi angekuwa Segerea, ni Kwanini?
Lengo la washambuliaji ilikuwa ni lazima na Dereva afe.

Bahati mbaya mno kwao, Dereva aliwaona na kuwatambua baadhi, kuna mmoja wao aliwahi kuonana na Dereva huyo Ktk Bar moja (jina limefichwa) jijini Dar.

Kwamba hawahusiki, na hawa wajui wahusika ila wanaogopa hadi kivuli cha Lissu.

Mwaka jana nikiwa Australia, rafiki yangu Ross aliniuliza, "vp endapo angeshambuliwa waziri, je? Watuhumiwa wasingekamatwa? " Nilimwambia jibu analo.

Mbaya zaidi makosa waliyofanya bado hawataki kukoma wanapanga makosa mengine tena zaidi ya haya, mtakuja kuyaona.
Niishie hapa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa kama mtanzania najisikia aibu kuwa na mwanasiasa na mwanasheria kama Tundu Lisu.akiwa kama mwanasiasa najisikia aibu kwa kuwa msaliti kwa kuitangaza vibaya nchi yake kwa maslahi yake binafsi,
Pia najisikia aibu kuwa na mwanasheria anayetoa shutma za uzushi na zisizo na ushahidi kiasi kwamba hawezi hata kuzipeleka mahakamani au kuzitoa kwa wanausalama.
 
Vijana wote wa CCM wamejazana humu kila kukicha wanaanzisha Topic za kumkashifu na kumsimanga Tundu Lissu, mtu asiye na hatia aliyepigwa risasi zaidi ya 10 na watu wanaoitwa "wasiojulikana " zilifyatuliwa risasi 38,kumi ndo zikampata.

Dada yangu Faizafox aliweka uzi humu wenye kuonyesha ni kiasi gani aliguswa na kushangazwa na tukio hilo japokuwa naye ni CCM member, dada huyu anadai hakutarajia Kama Tanzania anayoijua imefikia hapa.

Serikali ilikana kuhusika na tukio hilo, lakini serikali hiyo hiyo imejaa hofu juu ya huyu mtu.

Nilishangaa Sana, Balozi tena anayeiwakilisha nchi Ktk taifa kubwa kusigina kwenye Media na mtu aliyeonewa, serikali inadai kuchafuliwa na Tundu Lissu kimataifa.

Ukisikiliza mahojiano ya Tundu Lissu na international media hakuna sehemu yoyote anakoichafua serikali zaidi ya kulalamika Kwanini serikali haijawakamata wasiojulikana?

Eti hadi Dereva awepo, ina maana Kama Dereva angeuawa uchunguzi ungefungwa? mbona ni hoja ya kitoto Sana kutolewa na Jamhuri ?

Inanishangaza Sana ndugu zangu Mods kufumbia macho Topic zinazomwandama Tundu Lissu kwa kila aina ya kashfa.

Ni hao hao Vijana wa CCM waliojazana humu walifurahia sana wakati muasisi wa JF Maxence Melo alipokuwa akisota Segerea kwa kukataa kuwapa Police majina ya wakosoaji wa serikali.

Na leo hao hao wamejaza Topic kibao humu za kumkashifu Tundu Lissu na bado wanadunda JF.

Ule msemo "The guilty are always afraid " una jenga maana kubwa mno juu ya uoga wa serikali kwa Tundu Lissu.

Badala ya kuwatafuta watuhumiwa Serikali inatafuta wahanga wa tukio.

Asante Mungu Dereva Yupo Belgium, Taarifa za uhakika nilizonazo endapo Dereva angeenda kuhojiwa ni kwamba kibao kingemgeukia yeye, sasa hivi angekuwa Segerea, ni Kwanini?
Lengo la washambuliaji ilikuwa ni lazima na Dereva afe.

Bahati mbaya mno kwao, Dereva aliwaona na kuwatambua baadhi, kuna mmoja wao aliwahi kuonana na Dereva huyo Ktk Bar moja (jina limefichwa) jijini Dar.

Kwamba hawahusiki, na hawa wajui wahusika ila wanaogopa hadi kivuli cha Lissu.

Mwaka jana nikiwa Australia, rafiki yangu Ross aliniuliza, "vp endapo angeshambuliwa waziri, je? Watuhumiwa wasingekamatwa? " Nilimwambia jibu analo.

Mbaya zaidi makosa waliyofanya bado hawataki kukoma wanapanga makosa mengine tena zaidi ya haya, mtakuja kuyaona.
Niishie hapa.



Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali imehusika, kelele za sasa hivi ni kujaribu kuficha uovu wao.
 
Yani taifa lichafuke kwa sababu ya mjinga mmoja? Hiyo haikubaliki mahali kokote. Watu zaidi ya milioni 55 waanze kuteseka kwa sababu ya mnyoa kiduku flani wa hovyo hovyo? Unadhani machafuko yanakuja tu? Mbegu chafu kama huyo muhuni ndio hua vyanzo vya machafuko ambayo kama mwananchi wa kawaida nayapinga na nabariki hatua yoyote ya kuhakikisha amani na utulivu wa kweli unakuepo.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkuu una akili kama jiwe(sijui kama kwako ni sifa au kashfa lakini) hongera


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana wote wa CCM wamejazana humu kila kukicha wanaanzisha Topic za kumkashifu na kumsimanga Tundu Lissu, mtu asiye na hatia aliyepigwa risasi zaidi ya 10 na watu wanaoitwa "wasiojulikana " zilifyatuliwa risasi 38,kumi ndo zikampata.

Dada yangu Faizafox aliweka uzi humu wenye kuonyesha ni kiasi gani aliguswa na kushangazwa na tukio hilo japokuwa naye ni CCM member, dada huyu anadai hakutarajia Kama Tanzania anayoijua imefikia hapa.

Serikali ilikana kuhusika na tukio hilo, lakini serikali hiyo hiyo imejaa hofu juu ya huyu mtu.

Nilishangaa Sana, Balozi tena anayeiwakilisha nchi Ktk taifa kubwa kusigina kwenye Media na mtu aliyeonewa, serikali inadai kuchafuliwa na Tundu Lissu kimataifa.

Ukisikiliza mahojiano ya Tundu Lissu na international media hakuna sehemu yoyote anakoichafua serikali zaidi ya kulalamika Kwanini serikali haijawakamata wasiojulikana?

Eti hadi Dereva awepo, ina maana Kama Dereva angeuawa uchunguzi ungefungwa? mbona ni hoja ya kitoto Sana kutolewa na Jamhuri ?

Inanishangaza Sana ndugu zangu Mods kufumbia macho Topic zinazomwandama Tundu Lissu kwa kila aina ya kashfa.

Ni hao hao Vijana wa CCM waliojazana humu walifurahia sana wakati muasisi wa JF Maxence Melo alipokuwa akisota Segerea kwa kukataa kuwapa Police majina ya wakosoaji wa serikali.

Na leo hao hao wamejaza Topic kibao humu za kumkashifu Tundu Lissu na bado wanadunda JF.

Ule msemo "The guilty are always afraid " una jenga maana kubwa mno juu ya uoga wa serikali kwa Tundu Lissu.

Badala ya kuwatafuta watuhumiwa Serikali inatafuta wahanga wa tukio.

Asante Mungu Dereva Yupo Belgium, Taarifa za uhakika nilizonazo endapo Dereva angeenda kuhojiwa ni kwamba kibao kingemgeukia yeye, sasa hivi angekuwa Segerea, ni Kwanini?
Lengo la washambuliaji ilikuwa ni lazima na Dereva afe.

Bahati mbaya mno kwao, Dereva aliwaona na kuwatambua baadhi, kuna mmoja wao aliwahi kuonana na Dereva huyo Ktk Bar moja (jina limefichwa) jijini Dar.

Kwamba hawahusiki, na hawa wajui wahusika ila wanaogopa hadi kivuli cha Lissu.

Mwaka jana nikiwa Australia, rafiki yangu Ross aliniuliza, "vp endapo angeshambuliwa waziri, je? Watuhumiwa wasingekamatwa? " Nilimwambia jibu analo.

Mbaya zaidi makosa waliyofanya bado hawataki kukoma wanapanga makosa mengine tena zaidi ya haya, mtakuja kuyaona.
Niishie hapa.



Sent using Jamii Forums mobile app
CCM inapenɗa watu wajinga wajinga! Werevu na wenƴe maarifa ufahamu mzuri ni maaɗui kwao!
 
Back
Top Bottom