Holly Star
JF-Expert Member
- Aug 25, 2018
- 4,316
- 8,013
Guys you cant fight with your own shadow, lisu anapigana na kivuli chake mwenyewe, anapambana na taifa lake mwenyewe, watanzania tupo milioni karibia 55 kati ya hao robo tu ndo wanamuunga mkono lissu na robotatu hatukubaliani naye, so asidhani kuwa akirudi tutampa hata ubalozi wa nyumba kumi, in short hapo ndo keshajimaliza kisiasa. Mshuhudie lissu akirudi awe mwananchi wa kawaida sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app