Recent content by Biggs

  1. Biggs

    Mke wangu kaacha ndoa yake kisa kazi

    The bottom line is, women are unpredictable; you are either in or out !! Otherwise you'll die prematurely !! We are living in a very different era !! Your thinking has to be different; always ahead, and readily prepared for whatever comes next !! Women today are not mothers of yesteryears !!
  2. Biggs

    Sijawahi kuona speech ya kibabe kama hii. Ni kama kuna mtu anatafutiwa sababu

    ...... Someone else will raise your sons and daughters......
  3. Biggs

    Natamani tupatane watu 40 wenye milioni 5

    .......Bongo majigambo mengi na kujikweza kila mmoja aonekane ndiye boss wa project.......
  4. Biggs

    Mke wangu amebadilika sana

    ......vihela anavyopata vinampa kiburi sielewi...... (The Correct Answer Lies Here) !!
  5. Biggs

    Msaada jinsi ya kuvunja Mkataba wa kazi kisheria na kwa amani

    UHALALI WA NOTISI YA MASAA 24 KISHERIA Kwa mujibu wa ELRA, 2004 (Revised 2019) na Code of Good Practice, 2007; notice ya kusitisha ajira lazima ifuate: Section 41: Notice lazima itolewe. Section 44: Notice lazima ifuate minimum periods. Kwa hiyo, notice ya masaa 24 haipo kwenye sheria kama...
  6. Biggs

    Msaada jinsi ya kuvunja Mkataba wa kazi kisheria na kwa amani

    MWONGOZO/UTARATIBU: 1. Sababu za Kisheria za Kusitisha Mkataba (Employer & Employee) Sheria ya Ajira na Mahusiano Kazini (ELRA, 2004) inatambua sababu kuu zifuatazo: A. Sababu za Mwajiri (Employer) Utendaji duni (poor performance):- Lazima uthibitishwe kwa tathmini na mafunzo ya marekebisho...
  7. Biggs

    Je, kuna uwezekano wa kufunga ndoa ya kiserikali online?

    Kwa sasa, ndoa ya kiserikali Tanzania haiwezi kufungwa kwa njia ya mtandao (Zoom/Google Meet). Sheria inataka wanandoa wote wawili wawe PHYSICALLY mbele ya ofisa wa serikali aliye na mamlaka ya kufungisha ndoa. Mambo ya Msingi Kuhusu Ndoa ya Kiserikali Tanzania Sheria ya Ndoa Sura ya 29 (Toleo...
  8. Biggs

    Naweza kuwa na TIN namba hata kama sina biashara?

    Kwa ufupi:- Ndiyo, unaweza kuwa na TIN bila biashara, kupitia non-business TIN, hasa kwa leseni ya udereva, usajili wa gari, au shughuli rasmi za kifedha.
  9. Biggs

    Je nikiwa na Treasure bond ndoa ikivunjika inahesabiwa kama Mali au ni personal

    KWA UFUPI: Katika sheria za Tanzania, Treasury bond inaweza kuhesabiwa kama mali ya ndoa (matrimonial property) ikiwa ilipatikana kwa juhudi za pamoja wakati wa ndoa. Ikiwa ni uwekezaji binafsi uliofanywa kabla ya ndoa au bila mchango wa mwenzi, inaweza kuhesabiwa kama mali ya kibinafsi...
  10. Biggs

    Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) latoa ufafanuzi kuhusu yanayoendelea mtandaoni

    Someone, should watch the signs upstairs very closely !!
  11. Biggs

    Ushauri mnaojua shule inayosaidia watoto wenye Uelewa wa taratibu (slow learners) nimpeleke mtoto wangu.

    Nakubaliana na wewe !! Ni vizuri kuwajengea tabia ya kujitegemea huku ukifanya monitoring !! Pia wanahitaji kupata muda wa kupumzika na kujichanganya na wengine (BUT) wenye malezi yanayoeleweka....Kingine wazai wanahitaji kuwa karibu na watoto wao ili kujua changamoto wanazokumbana nazo...Unoko...
Back
Top Bottom