Recent content by Biggs

  1. Biggs

    DCEA yakamata kilo 767.2 za dawa za kulevya katika operesheni maalum, 21 mbaroni

    Dawa Za Kulevya + Zile Pombe Zetu = A Failing National Youth Population In The Making !!
  2. Biggs

    Mtanzania mwenye umri wa miaka 60 akamatwa na Mihadarati Ethiopia

    Certain Routes Coupled With Poor Modus Operandi, As Well As Looks, Makes You Become An Easy Suspect !!!
  3. Biggs

    Faris Burhan wa UVCCM Hujajiuzulu?

    Utamaduni wa kujiuzulu ni ngumu mno TZ !! Kinachoangaliwa kwanza ni maslahi ya sasa na baadae hata kama ni kiduchu !! Labda alazimishwe kufanya hivyo !!
  4. Biggs

    Natafuta mtu/ taasisi ya kunikopesha tshs laki mbili na nusu, nitalipa 340k ndani ya miezi minne.

    Mnaanzaga hivi halafu baadae ndio wa kwanza kuja kulialia kuwa wamekupa MKOPO UMIZA/KAUSHA DAMU !!! Huku ukijitoa ufahamu ya kwamba hukuyajua masharti ya mkopo!!!
  5. Biggs

    Dotto Magari acha kabisa kutumia neno Ukimbizi kwa watu wa Kigoma

    Take it easy Festus Bavumiragiye !!!
  6. Biggs

    Washiriki wa mapenzi ya jinsia moja huko Marekani wameweka historia kuwa waumini wa mwanzo wa R.C kupewa baraka

    Absolutely !!! Time's up !!! Condemning and Blessing the same thing !!! (Totally unacceptable !!!).
  7. Biggs

    Naumia sana Mtu wangu wa karibu akifanikiwa, inanidhoofisha mwili

    Learn to Learn from them !! Throw away all the negativity !! This is the way to go, and the bottom line is, you're going to stop them from prospering and moving forward !!
  8. Biggs

    Mahakama ya mafisadi ni imeenda kusipojulikana

    Labda alitaka ipewe jina la MAHAKAMA YA MAFISADI !!
  9. Biggs

    Rais Samia atengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Wakurugenzi wa TTB na NCAA

    Hii ni hatari kwa usalama wa nchi !! Mtandao mzima hadi huko Katavi inabidi utafutwe na uondolewe !
  10. Biggs

    Rais Samia atengua uteuzi wa Katibu Mkuu Wizara ya Maji na Wakurugenzi wa TTB na NCAA

    Wapambe wake nao wanatakiwa waondolewe !! Wapelekwe kwingineko !!
  11. Biggs

    Mabinti wanaomaliza vyuo na kurudi nyumbani wananyanyapaliwa sana na wazazi kuliko vijana wa kiume

    Inategemea na aina ya familia !! Mzazi anayejitambua hupenda kuona yaliyo mazuri kwa uzao wake !!
Back
Top Bottom