Recent content by bigger

  1. bigger

    Msaada: Tatizo la kigugumizi

    Vilevile kigugumizi kinaweza kutokea pale mtu kapata ajali na ikamsababishia majeraha makubwa upande wa kushoto wa kichwa na eneo la broca likaathiriwa na hyo ajari.
  2. bigger

    Msaada: Tatizo la kigugumizi

    Hayo ni matatizo ambayo mtu huzaliwa nayo mkuu na hakuna tiba. Upande wa kushoto katika ubongo wa binadam lugha ndiko inako ratibiwa, kuna eneo linaitwa broca's area ambalo ni maalum kwa uzalishaji au utamkaji wa lugha, kama hilo eneo linamatatzo huwa mtu huwa na matatzo kama hyo ya kigugumiz...
  3. bigger

    Kifungu cha Wananchi kuwawajibisha wabunge wao

    Cha msingi ni kutoa elimu kwa watu ili kupinga katiba kwa kura ya hapana. Nasikitika sana sababu wanaondoa vitu vya msingi ili tuu kuendelea kutupeleka pabaya zaidi. Kuondolewa kwa vifungu kama hivyo kwenye katiba tutaendelea kuwa na viongozi walewale wanaojali maslahi yao na si kuwatumikia...
  4. bigger

    Kwanini Lowassa?

    Hii ndo tz.
  5. bigger

    Je hii ni kawaida?

    Duuu jamani, toeni ushauri na sio kumshambulia mtu kwa maneno ya matusi na kumumiza zaidi. Hata kama ni malaya mshauri kwani nalo ni tatizo la kushauriana kuliko kumshambulia kwa maneno mazito. Pole sana, jitahidi kuzidisha maombi Mungu atakusaidia mpendwa.
  6. bigger

    Lady Jay dee baada ya kupokea tuzo, asema narudi kimya kimya

    Asante kwa title nzur ila supporting evidence huna, hoja yako haina mashiko.
  7. bigger

    Nitaondoka wa mwisho CHADEMA Zitto alimaanisha hivi

    Pole hujitambui wewe.
  8. bigger

    Nahitaji mchumba wa kiume

    Daa!!! Jamani nna kila kigezo af nipo green city. Nipatie bac contact ili tufanye kapango ila kupima lazima kama tutaenda sawa.
  9. bigger

    Nimedata na jirani yangu mke wa mtu

    Ni sumu huyo, ogopa sana.
  10. bigger

    Wezi wawili wakiungua moto mbagala kwa Mangaya - Tutaendelea kujichukulia sheria mkononi hadi lini

    Hata kama lakin hvyo!!! Unashuhudia binamu mwenzio anaungua kama kuni!! bado umeganda kama unaangalia kombe la dunia. Wanamakosa ndio lakin kwa hyo hali inaumiza sana.
  11. bigger

    Maji maji ukeni kama mtindi yananikera, je ni uchafu? nahisi kumuacha

    Hospitali zipo nenden elezen tatizo lenu msaidiwe. Usichukulie kama ni tatizo lake bali lenu wote. Kumwacha utakuwa hujamtendea haki mwenzio. mwanaume lazima usimame wakat wte kukumbana na changamoto.hta kama humpend msaidie kwanza kwa hilo mkuu.
  12. bigger

    Anatafuta boyfriend

    Mmmmmm! Ayaa bana
  13. bigger

    Uvaaji wa hijab kwa wanafunzi wa sekondari Tanzania

    Umenena mkuu japo wachangiaji wengine wanaendeshwa na hisia za din zao na sio uharisia. Hilo suala linatengeneza matabaka sana mashulen. kwa anayefuatilia atakujua tu.ila kwa aliye jiandaa kubisha atabisha tu ucshituke kwa 7bu mda mwingine hisia za mtu zinatawala ukweli hta kwa ktu kilicho waz.
  14. bigger

    Kumpenda kwangu ndo imekuwa sababu ya yeye kuniumiza

    Kwa vle umeonesha kumpenda sana jaribu kutumia watu wake wa karibu kuongea naye ikishindikana jiepushe ipo cku utasahau maumivu yake.bado hujachelewa.
  15. bigger

    Kiongozi wa UKAWA na Katibu Mkuu NCCR akamatwa na Polisi!

    Tupo nyuma yao.UKAWA ni ukomboz wetu.
Back
Top Bottom