Kwanini Lowassa?

Kwanini Lowassa?

Wadau,nimekutana na Mh. Lowassa mara kadhaa na nimemkuta na escort ya usalama wa taifa mara zote. Yeye ni waziri mkuu aliyejiuzuru,sijui kama waziri mkuu anaulinzi,sijaona kwa Mh.Warioba. Cha ajabu ni kuwa yeye sasa ni mbunge wa kawaida. Nimejiuliza kwanini bila majibu. Em tuelimishane wadau..,why ??

Vitoto vya chuo bana ujinga mtupu
 
Back
Top Bottom