Ni kweli CITES - Arusha wanahusika na kutoa kibali, hata ukienda mpingo house watakwambia nenda Arusha. Mimi nimesoma chuo cha wanyamapori - MWEKA kuna jamaa yangu ni muhusika pale CITES arusha ni pm nikupe no yake ila ukifanikiwa usisahau kunipa soda
Mkuu nimekuelewa sana. Sasa ukisema serikali inakomoa wafanyabiashara sasa itapata wapi mapato? Kwasbb bila wafanyabiashara bandari hakuna mapato, labda uniambie serikali inakomoa wafanyabiashara ambao walikuwa sio waaminifu, wakwepa kodi. Lkn kwan ushuru wa forodha umepanda kwa kiwango cha %...
Sasa ndugu mimi sijui wewe umeelewa comment yangu ktk scenario gani, kinachotokea sasa hivi sio kwamba uchumi unaaribika bali tulikuwa na wafanyabiashara hewa waliokuwa wanaagiza mizigo hawalipi ushuru na kukosa mapato, kinachotokea now ni kusafisha huo mfumo wa kifisadi watabaki wafanyabiashara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.