Recent content by big engine

  1. B

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Askofu Gwajima ajibu mapigo. Asema Gwajimanization ni kusema ukweli hata kama hauwapendezi walioko madarakani

    Gwajima yuko sahihi.... Wala kiongozi wetu hakutakiwa kutaja neno Gwajima kwenye hotuba yake hasa katika kipindi hiki. Kufanya hivyo ni kuruhusu watu waendelee kufuatilia zaidi mambo haya. Mama ameteleza kidogo.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Je, Injili Ilitabiri Ujio wa Mtume Muhammad (Rehema na Amani za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake)?

    Baadhi ya nukuu ulizotumia niza agano la kale na agano jipya. Yaani kabla na baada ya YESU, Sasa kwa kuwa jina Muhammad (Rehema na Amani iwe juu kwake) halijatajwa moja kwa moja , kwanini tuna amina kuwa utabiri huu una mhusu nabii Muhammad (Rehema na Amani ili juu yake) ?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Hii ndoto ina maana gani katika ulimwengu wa kiroho?

    Hayo yatakuwa ni maono shukuru mwenyezi MUNGU ni wachache sana wanao weza kupata ndoto kama hiyo
  4. B

    JamiiForums Tanzania Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Lengo lilikuwa nzuri, lakini umepitiliza muno kusifia. Anyway jamaa ni jasili sana aisehh..
  5. B

    JamiiForums Tanzania Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

    Wakati mwingine ukifikiria sana unashindwa hata cha kusema, kwa sababu mheshimiwa Rais wetu aliyepo hata hakuwa na maandalizi ya kuongoza taifa hili. Hii ilitokea tu kwa kudra za mwenyezi mungu. Chamsingi sasa ni kufanya maandalizi ya kukabidhi nchi kwa mtu atakaye kuwa strong kiasi cha...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mliochomwa Sindano za COVID-19 mnaendeleaje?

    Ngoja waje wajuzi wa mambo haya watupe uzoefu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kila nikijilazimisha nimuone wa maana, moyo unagoma tu, simpendi na sipendi awe kiongozi kokote kule!

    Ninaunga mkono hoja Umenena kama yalivyo Mawazo yangu. Huyu jamaa hakika ni mwanaharakati na hafai kabisa kuwa kiongozi yeyote Iwe wa chama au kiongozi serikalini
  8. B

    JamiiForums Tanzania Kugawanyika Kwa watanzania

    Nimecheka Kwa sauti Haaaaa haaaaa haaa
  9. B

    JamiiForums Tanzania Ulipokea vipi Msiba wa Hayati Magufuli?

    Hakika niliumia sana, Mwamba kaacha mambo mengi ya kujifunza Hasa katika falsafa ya kulinda lasirimali za umma na kudhibiti wazembe kazini Vita aliipigana vizuri RIP mwamba
  10. B

    JamiiForums Tanzania Serikali wahurumieni watoto wa masikini katika elimu

    Eti chawa mmoja alisikika Duuuhhh.....!!!!! Kiukweli hali ya elimu nchini haina afya kabisa hata kidogo. Kibaya zaidi tuko vizuri kwenye kutetea kuliko uhalisia wenyewe.
  11. B

    JamiiForums Tanzania Spika Ndugai: Hakuna Mbunge aliyefukuzwa Ubunge. Vikao vya majungu havifanyi kazi hapa, Msajili tazama vyama vya namna hii

    Sijawahi ona maamuzi makubwa kiasi hiki, yakitekelezwa haraka kiasi hiki. Chadema wamelikoroga lazima watalinywa. Kama walikuwa na agenda ya siri, sasa mambo yote hadharani. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kipindi cha TBC aridhio wamejitahidi sana

    Kiukweli wamejitahidi sana. Jana nimewaangalia kwa makini sana, kuna maboresho makubwa sana yamefanyika. Big up kwao Sent using Jamii Forums mobile app
  13. B

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ameendelea kuwapiga watu chenga ya mwili

    Sio muda sahihi wa kuanza kushangilia sasahivi. Japo mheshimiwa Rais ameonyesha ukomavu wa hali ya juu kujitokeza hadharani na kuwa tofauti na mataifa mengine namna wanavyo deal na swala hili la Corona. Lakini ukweli ni kwamba bado tupo kwenye Mapambano Ya hali ya juu. Tena ndio kwanza vita...
  14. B

    JamiiForums Tanzania GE2020 Tunaojiandaa kumpa tena kura Rais Magufuli tukutane hapa

    Well said brother Sent using Jamii Forums mobile app
  15. B

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kufanya Memory card kuwa Internal Storage

    [emoji120][emoji120][emoji120][emoji106][emoji106] Shukurani Sana kwa kutoa Elimu inayo eleweka vizuri [emoji122][emoji122][emoji122] Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom