Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

Rais Samia wewe ndio chanzo cha matatizo ya umeme nchini

Mbona unajivua nguo kwa matusi? Hivi siku hizi posho ya uchawa sh ngapi? Kuna kipindi ilikua elfu 7000 enzi zetu nikiwa huko
We una ndizi, we mbwa Samia siyo size yako. Kipindi cha bandari masaa 24 ulikesha humu na uzushi, upotoshaji, ulinunuliwa na mafisadi. Sahivi unahangaika sijui kakutuma nani, we nyau hangaikia mkate wako rais ni level we ni mdogo kuliko sisimizi. Mfuate yule mshambako kaburini akuongoze kule.
 
Mbona unajivua nguo kwa matusi? Hivi siku hizi posho ya uchawa sh ngapi? Kuna kipindi ilikua elfu 7000 enzi zetu nikiwa huko
We una ndizi, we mbwa Samia siyo size yako. Kipindi cha bandari masaa 24 ulikesha humu na uzushi, upotoshaji, ulinunuliwa na mafisadi. Sahivi unahangaika sijui kakutuma nani, we nyau hangaikia mkate wako rais ni level we ni mdogo kuliko sisimizi. Mfuate yule mshambako kaburini akuongoze kule.
 
Rais wangu bila kupepesa macho wala kuona haya wewe ndo chanzo cha matatizo ya umeme nchini yote haya yana baraka zako na chanzo ni wewe

Mama aliingia akakuta shirika la TANESCO na umeme ulikua umetengamaa kwa kiasi kikubwa.

Akaanza kubadilisha watu wa TANESCO na kuweka watu aliyowaona yeye....Hapa anaulaumiwa yeye.

Akaja kumtumbua Kalemani, kosa la kumtoa Kalemani hakulitoa, lakini za chini chini zinadai ni personal issues, kuogopa legacy ya mwendazake, na mambo ya ukabila, akamuweka Makamba, Makamba kaingia matatizo yakaanza....Hapa Rais ni wa kulaumiwa hadi Akhera

Hakuishia hapo tu, umeme ulipoanza kuharibiwa na Makamba hakukemea wala kuhoji au kumgombeza Makamba alitulia kama "halimuhusu vile"....,Samia unastahili lawama.

Gesi ikapanda, wakati huo huo waziri anazunguka kugawa mitungi ya Taifa gesi na Mihan kwa kutumia pesa za umma huku hiyo kampuni waziri ana hisa humo....Rais hakuongea chochote zaidi ya kuacha yaendelee.

TANESCO wakakodi app kutoka India kwa bilioni 69 Rais kimyaaa

Makamba akaanza kuivuruga TANESCO yeye na Maharage wakaja na matengenezo yasiyokwisha pesa zikiwa hazijulikani zinapokwenda Rais kimyaaa

Maharage akaingiza kitengo cha kampuni yake ya huduma kwa Wateja rais kimyaa

Nchi ikarudi Gizani Rais kimyaaa

Halafu mnasema Rais asilaumiwe kwenye hili la umeme kwani yakiwa yanatokea si yalikua na baraka zake? Au mnataka kusema wakati yote yakijiri yeye alikua usingizini?

Tunazunguka sana kuwalaumu wengine huku tukisahau mtu anayestahili kulaumiwa na kunyooshewa kidole ni "SAMIA SULUHU HASSAN" huyu ndo chanzo cha matatizo yote na yeye ndo aliyewapa "greenlight" kina Makamba wafanye wanavyotaka.

Mnawalaumu TANESCO wakati wao wanafata tu wanachoambiwa?Au mmesahau TANESCO ni watu wa "ndio mzee" wanafata maagizo ya wakubwa? Kipindi cha Magufuli waliambiwa hamna kukata umeme au migao na wakatii sasa tuwalaumu TANESCO wakati wao wanafuata maagizo ya "Samia na Makamba?"

Ingekua nchi nyingine huyu Samia angejiuzulu tu na kuwajibishwa pamoja na Makamba na Maharage lakini bahati tunatawaliwa na mfumo na bunge ambalo ni la chama kimoja tu.

Kuhusu umeme wakulaumiwa na Rais Samia kwa 100%
Ulisikia yeye ni fundi umeme?
 
Wakati mwingine ukifikiria sana unashindwa hata cha kusema, kwa sababu mheshimiwa Rais wetu aliyepo hata hakuwa na maandalizi ya kuongoza taifa hili. Hii ilitokea tu kwa kudra za mwenyezi mungu.
Chamsingi sasa ni kufanya maandalizi ya kukabidhi nchi kwa mtu atakaye kuwa strong kiasi cha kutuvusha kwenye kadhia kama hizi.
 
Mkuu unataka kutetea nini kwenye hili la Tanesco? Toka ameingia Makamba Umeme ulianza kuwa tatizo kubwa hadi sasa na akasema ana karabati lakini hadi leo hakuna kilicho karabatiwa kabisa…! Gas ilipanda juu juu
Umeme haujawahi kuwa sawa hata kabla ya Makamba. MW 1600 ni kidogo hata kama angekuja malaika kuongoza hiyo wizara bado angelaumiwa tu. Kama kumlaumu Makamba inawasaidia kiafya basi ni vyema
 
Umeme haujawahi kuwa sawa hata kabla ya Makamba. MW 1600 ni kidogo hata kama angekuja malaika kuongoza hiyo wizara bado angelaumiwa tu. Kama kumlaumu Makamba inawasaidia kiafya basi ni vyema

Rais Samia amevunja bodi kwa sababu gani?
 
Ajabu ni kwamba hii nchi Uongo umekithiri sana mara utaskia tatizo ni mvua hazinyeshi kwahiyo vyanzo vimepungukiwa maji, mvua zikinyesha usiku kucha utaskia miundombinu mibovu akhhhh sheeeet! Sasa tatizo ni vyanzo au miundombinu!???
 
Cha ajabu watu walisha sahau hicho kisingizio cha ukarabati zinatolewa sababu zengine ila yeye Samia akaturudisha tena kwenye ukarabati et mitambo haikuwa ikifanyiwa service.
Yaani Dkt Samia kuna kakikundi kamemgeuza kikaragosi yaani ikifika 2025 hako kakikundi katamuambia asigombee maana wananchi hawampendi na hakika hiki kikundi kimefanikiwa kumdanganya kama haamini asubili watanganyika watakachomfanya 2025, maana ushauri alipewa makamba ni jambazi etc
 
Sio kweli mkuu kila kitu mnamuonaga innocent huyo ajuza kipi anachoweza kukifanya?
Madhali wewe ni ajuza na huna unachoweza kufanya .Unafikiria wote watu wote ni kama ajuza wewe,usiweza kufanya chochote,upo upo tu.
 
uzi wangu bora wa kufungia mwaka

inabid tushare mpaka mtandao x insta mpaka fb
 
Back
Top Bottom