kuezeka kwa zege vs kuezeka kwa bati ipi itakuwa na unafuu wa gharama
Kwa maana nikiezekea zege,,nitakuwa nime save gharama za bati,mbao za kench, bundling, gypsum boards,mikanda na misumari lakini najua na zege linahitaji nondo,kokoto, cement,n.k,,,napenda zege kwasababu haina kelele wakati wa...