choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 1,651
- 2,989
Ni dogo ambaye ndoto zake ni kusoma special school kati ya ilboru, Mzumbe, Tabora boys kwa mchepuo wa PCB, alikua vizuri sana Physics ila imemuangusha maana mitihani ya shule alikua anapiga A ila Necta matokeo yake ni
Physics C
Chemistry A
Biology A
ana div 1.11
Je anaweza kuchaguliwa hizo shule tajwa hapo juu au tusubiri za kawaida tuu
Physics C
Chemistry A
Biology A
ana div 1.11
Je anaweza kuchaguliwa hizo shule tajwa hapo juu au tusubiri za kawaida tuu