Recent content by Bibi Mikopo

  1. Bibi Mikopo

    KERO Responded Wanafunzi UDSM tuliokosa mikopo 2023 na waliopata mikopo kidogo tunaambiwa lazima tuwe na Kadi ya CCM ndio tutahudumiwa

    Kutoka insta/X ya HESLB kule mata wa Jirani: TAARIFA KWA UMMA UFAFANUZI: UANACHAMA WA CHAMA CHA SIASA SI SIFA YA KUPATA MKOPO Jumanne, Agosti 13, 2024 Tunapenda kutoa ufafanuzi kuhusu taarifa inayosambazwa katika mitandao ya kijamii, likiwemo jukwaa la ‘JamiiForums’ kuwa wanafunzi wa Chuo...
  2. Bibi Mikopo

    Je, unamfahamu mdaiwa wa HESLB mwenye kipato lakini ANAPIGA KIMYA?

    Je, unamfahamu mdaiwa wa HESLB mwenye kipato lakini ANAPIGA KIMYA? ... kutoka Insta na X ya HESLB Tanzania
  3. Bibi Mikopo

    KERO Bodi ya Mikopo kuchelewesha fedha za kujikimu (Boom) kwa wanafunzi

    Tuwape pole. Ila nimeona hii kule insta na X HESLB wame-comment: 'Tunashukuru kwa maoni haya kutoka kwa wadau wetu!Kwa ujumla, malipo kwa wanafunzi wanufaika wote katika vyuo vyote yanaendelea na hakuna tatizo la fedha.Kwa SAUT-Mwanza, kuna wanafunzi takribani 10,360 wanaonufaika na mikopo ya...
  4. Bibi Mikopo

    Waziri wa ofisi ya Rais na Utawala Bora ongea na Maafisa Utumishi na Waziri wa Elimu, HESLB inatutesa watumishi wa Umma

    Duh, Hii inabidi iwekwe sawa. Safari ya mteja tangu anaomba mkopo akiwa mwanafunzi aliyemaliza sekondari, akiwa chuoni na hata akiwa mhitimu anayerejesha inapaswa kuwa rafiki kadri iwezekanavyo. Akiomba mkopo kwa shida, akawa analipwa kwa shida akiwa chuoni, na urejeshaji ukawa siyo rafiki...
  5. Bibi Mikopo

    Rais Samia umakini unahitajika kufuatilia utendaji wa Serikali yako na Taasisi zake, ujue wewe ni daktari sasa. Ona hili la HESLB

    Hii kali. Jamaa yangu alikatwa hivyohivyo akaomba refund online, kaweka attachments, ndani ya siku 40 kawa karudishiwa kwenye akaunti yake aliyoambatisha wakati anaomba refund online. Ila twende mbele turudi nyumba ... unataka turudi kwenye kuandikiana hundi leo? Dah hii sio kabisa. Dunia...
  6. Bibi Mikopo

    Rais Samia umakini unahitajika kufuatilia utendaji wa Serikali yako na Taasisi zake, ujue wewe ni daktari sasa. Ona hili la HESLB

    Noma sana. Ila kwa miaka sita? Siku hizi Naomba refund online ... yako inasomaje ukiingia kwenye akaunti uliyoombea? Tusije kuwaua kumbe tumeingizwa chaka ...
  7. Bibi Mikopo

    Je, mfumo wa ugharamiaji Elimu ya Juu 'Bongo' unaendana na wakati?

    Salaam Wadau, Nimejiuliza tu. Kuna wanafunzi wengi wananufaika na mikopo inayotolewa na Serikali anbao wapo vyuo vikuu. Hili ni jambo jema sana. Lakini, mfumo wa sasa, ambao wanufaika wanasoma kozi yoyote na chuo chochote, ni sahihi kwa uendelevu (sustainability) wa fedha au maendeleo ya taifa...
  8. Bibi Mikopo

    Tujifunze kuhusu urejeshaji mikopo elimu ya juu

    MASWALI YAULIZWAYO MARA KWA MARA KUHUSU UREJESHAJI WA MIKOPO ELIMU YA JUU Swali: Mwajiri anapaswa kufanya nini baada ya kuajiri wahitimu wapya? Jibu: Kwa mujibu wa Sheria ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (SURA 178), mwajiri anapaswa aijulishe Bodi kwa maandishi kuhusu...
  9. Bibi Mikopo

    Barua ya wazi kwa JPM- Sheria ya Bodi ya Mikopo ya mwaka 2016

    Kamanda, unaweza kutuwekea hapa hiyo sharia ya nyuma iliyosema 6% tuidadavue?
  10. Bibi Mikopo

    Barua ya wazi kwa JPM- Sheria ya Bodi ya Mikopo ya mwaka 2016

    Kamanda, Nadhani wanatoza hivyo kwa kuwa hela bado unakua hujamaliza na inabidi iendelee kulindwa thamani yake. Buku ya leo, sio buku utakayorudisha miaka miwili ijayo. Hapa easy way ni kutafuta mzigo umalizane nao.
  11. Bibi Mikopo

    Barua ya wazi kwa JPM- Sheria ya Bodi ya Mikopo ya mwaka 2016

    Kamanda maoni na ushauri wako uko vema 1. Nakubaliana na wewe kuwa wazazi ambao wana uwezo wasiwaruhusu watoto wao waingie kwenye mikopo hii. 2. Nakubaliana na wewe pia hii kitu inaitwa Value Retention Fee inayotozwa 6% iangaliwe kwa maana ya utaratibu wa kuikata au kuikokotoa. Hata hivyo, 1...
  12. Bibi Mikopo

    Mikopo HESLB sio Siasa, Waliokopa walipe

    Wadau, Tangu HESLB watoe majina ya wadaiwa ambao walikopeshwa na hawajaanza kulipa kumekua na kelele nyingi -- nyingi kutoka wale waliokopa na hawajawahi kulipa hata senti moja. Hatuwezi kuendelea hivi. Kelele nyingine hazina hoja kabisa, kwa mfano: 1. Mbona hatujaambiwa tunadaiwa shilingi...
  13. Bibi Mikopo

    Bodi ya Mikopo(HESLB) waachia majina ya wadaiwa sugu kuanzia mwaka 1994 hadi 2014

    Wakuu, Nimeikuta sehemu hii: UTARATIBU KWA WAAJIRI NA WAAJIRIWA KATIKA UREJESHAJI WA MIKOPO YA ELIMU YA JUU Swali: Mwajiri anapaswa kufanya nini baada ya kuajiri wahitimu wapya? · Kwa mujibu wa sheria Na. 9 ya mwaka 2004 ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (kama...
  14. Bibi Mikopo

    Heslb yatoa siku 90 waliokosa mikopo kukata rufaa

    Wakuu, Nimeona niwashirikishe hii: HESLB yatoa siku 90 walikosa mikopo kukata rufaa Na Mwandishi Wetu Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90 kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kukata rufaa kwa njia ya...
Back
Top Bottom