Itv ilijitoa kutangaza kuanzia maandalizi mpk uchaguzi wenyewe walitoa maisha ya mgombea mmojammoja tuliona mpk siku yenyewe ya uchaguzi iliiacha vipindi vyote na ikawa inaripoti kila tukio lililokuwa linatokea huku tukishuhudia televisheni ya taifa ikiweka vikatuni. Kosa hapo ni nini? kuonyesha...
Ni kweli huyu tapeli yuko hapa hapa mjini anaendelea kutapeli watu tu anadhani njaa yake ndiyo utaisha kwa kutapeli nauli! Dume zima linaacha kufanya angalau vibarua linakaa kutapeli watu. Nitahakikisha nampata na kumfikisha kwenye vyombo vya dola!
Ni kweli jamani tafadhalini achaneni naye yaani huyu kaka ni tapeli mi binafsi nilikuwa na shida ya msichana nikampigia kwa namba hiyo hapo akaniambia msichana yupo nimtumie nauli pamoja na pesa yake ya udalali 40,000/- nikabagain akakataa katakata nikatuma akanipa na namba ya gari alilompakia...
Sababu ya kwanza ya watu kutojaa ni wamepandisha kiingilio, pili wameongeza gharama za parking mwaka jana tulipaki kwa 4,000 lakini mwaka huu tumepark kwa 10,000/- pia kule kwenye michezo ya watoto wamepandisha eti ni 5,000/- mwaka huu. Yaani wamenoboaaah!
T.B. Joshua ni mhubiri na muombaji pekee mwenye nguvu za Mungu kweli ktk Afrika na hapa Tanzania yuko mmoja tu wengine wote ni bla bla nyingi na upigaji wa pesa tu. Huo ndiyo ukweli!!
Mbuzi hula urefu wa kamba yake jamani! Yeye yuko hosp na ndiyo mazingira anayoshinda sana hivyo ni possible kutongoza wagonjwa kwani ndio anaoonana nao sana! Na nyie wenzetu msiwe warahisi kukubali mnapotongozwa kwani mkikataa mtashtakiwa? Acheni uasherati!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.