Maonyesho ya Sabasaba (77) mwaka 2015

Maonyesho ya Sabasaba (77) mwaka 2015

Maonyesho ya Sabasaba ni gulio kama magulio mengine yaliyopo Tz
 
Imekufa muhimbili nini unashangaa kuhusu sabasaba
 
Sababu ya kwanza ya watu kutojaa ni wamepandisha kiingilio, pili wameongeza gharama za parking mwaka jana tulipaki kwa 4,000 lakini mwaka huu tumepark kwa 10,000/- pia kule kwenye michezo ya watoto wamepandisha eti ni 5,000/- mwaka huu. Yaani wamenoboaaah!
 
Miaka ya nyuma yalikuwa ni maonyesho ya halisi ya kuonyesha uzalishaji, ugunduzi na ubunifu, lakini miaka hii, Sabsaba imekuwa ni Flea Market, kwa kweli limekuwa ni soko la kuuzia finished products na 90% ya hizo bidhaa ni za kutoka nje
 
Back
Top Bottom