Onyo: Msiwaguse wala kuwasema masihi wa Mungu

Onyo: Msiwaguse wala kuwasema masihi wa Mungu

Pdidy

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,675
Reaction score
37,857
Wapo.mnaoshangaa lakini.kwakuwa.nawapenda sitoacha kuwaonya.

Naona watu kadhaa wakiandika vibaya ujio wa TB Joshua. Kama mtumishi wa Mungu aijalishi wewe CCM ama UKAWA nawasa Mungu ndie anamwongoza..anajua amesema.nao nn sisi kama binadamu tumwombe mungu awaongoze waliosema yakaenende sawa na mapenzi ya mungu

Nasema kwa huzuni nimewahi kumwona kijana aliekuwa akimsema sana mtumishi mmoja alisagika tankibovu.kama unga sitaki kuamini yapo.maisha baada ya kumsema.mtu wa Mungu....
 
Wapo.mnaoshangaa lakini.kwakuwa.nawapenda sitoacha kuwaonya


naona watu kadhaa wakiandika vibaya ujio wa tb joshua..kama mtumishi wa mungu aijalishi wewe ccm ama ukawa nawasa mungu.ndie anamwongoza..anajua amesema.nao nn sisi kama binadamu tumwombe mungu awaongoze waliosema yakaenende sawa na mapenzi ya mungu

nasema kwa huzuni nimewahi kumwona kijana aliekuwa akimsema sana mtumishi mmoja alisagika tankibovu.kama unga sitaki kuamini yapo.maisha baada ya kumsema.mtu wa mungu....

Leo ndo umeandika point! Watumishi wa Mungu si wa kugusa.
 
Kweli kabisa unachosema. Haifai na haipaswi kumsema mtumish wa Mungu kumkejeli kwa maneno ni dhambi kubwa. Belv what u belv bt dont judge other ppl kama ni nabii c nabii leave t.. anaponya haponyi we acha tu Mungu mwenyewe ndio msemaji na anayejua na atayehukumu. Kumsema mtumish wa Mungu ni laana kubwa.
 
Wapo.mnaoshangaa lakini.kwakuwa.nawapenda sitoacha kuwaonya


naona watu kadhaa wakiandika vibaya ujio wa tb joshua..kama mtumishi wa mungu aijalishi wewe ccm ama ukawa nawasa mungu.ndie anamwongoza..anajua amesema.nao nn sisi kama binadamu tumwombe mungu awaongoze waliosema yakaenende sawa na mapenzi ya mungu

nasema kwa huzuni nimewahi kumwona kijana aliekuwa akimsema sana mtumishi mmoja alisagika tankibovu.kama unga sitaki kuamini yapo.maisha baada ya kumsema.mtu wa mungu....

Msiiamini kila roho bali zijaribuni roho muone kama zinatoka kwa Mungu.
Halafu huyo 'mungu' unayemtaja sijui ni yupi maana kuna miungu mingi!
 
Nyie wagonjwa? watu wanawasema wanasiasa,majambazi,drangheta,cosa nostra,yakuza na samurai ndio itakuwa hao "manabii"?
Ina maana vituko vyao hao manabii huvijui ,akina ka-tortoise, rock-at-all,moon-gill a,Gauge in ma na loliondo saga?
Hao waache wafanye fyongo na tutawasema tu maana hakuna namna !
 
Nyie wagonjwa? watu wanawasema wanasiasa,majambazi,drangheta,cosa nostra,yakuza na samurai ndio itakuwa hao "manabii"?Ina maana vituko vyao hao manabii huvijui ,akina ka-tortoise, rock-at-all,moon-gill a,Gauge in ma na loliondo saga?Hao waache wafanye fyongo na tutawasema tu maana hakuna namna !
"Usilolijua litakusumbua."
 
Waambie waelewe, hawa watu wa mungu ni wa kuwaogopa sana! mungu yu pamoja nao hakawii kuwageuza majina
 
Wapo.mnaoshangaa lakini.kwakuwa.nawapenda sitoacha kuwaonya.

Naona watu kadhaa wakiandika vibaya ujio wa TB Joshua. Kama mtumishi wa Mungu aijalishi wewe CCM ama UKAWA nawasa Mungu ndie anamwongoza..anajua amesema.nao nn sisi kama binadamu tumwombe mungu awaongoze waliosema yakaenende sawa na mapenzi ya mungu

Nasema kwa huzuni nimewahi kumwona kijana aliekuwa akimsema sana mtumishi mmoja alisagika tankibovu.kama unga sitaki kuamini yapo.maisha baada ya kumsema.mtu wa Mungu....

Wala si ajabu Malaika wa giza kujigeuza kuwa malaika nuru!! By the way nikuulize wewe kwanza kabla simuliza Joshua Mungu ana support wizi wa kura!!! Yaani hayo masanduku yaliyokuwa yanasafirishwa kwenye malori, kura zimekamatwa zipigwa kwa mgombea kijan mungu wenu alikuwa kipofu labda hakuziona hizo, maana Mungu wa kweli Mungu wa mbinguni haenendi na wasio haki!! Sijua joshua anamtumikia mungu gani...ambaye hajamwonyesha kura ziliibiwa
 
acheni unafiki tb joshua haja udhuria kuapishwa hakuwepo uwanjani
 
Back
Top Bottom