CRDB Bank mtapoteza wateja kwa ubabaishaji

CRDB Bank mtapoteza wateja kwa ubabaishaji

Equity bank ndiyo habari ya mjini kufungua account ni fasta tena muda huo huo unapatiwa na atm card yako!
 
vevenononombo

unaweza kweli ukawa 'serious',ila tangu ulipomtetea yule 'naniliu' nimekuona na wewe "walewale!"
samahani lakini,ila na mimi nipo serious!
 
Last edited by a moderator:
unaweza kweli ukawa 'serious',ila tangu ulipomtetea yule 'naniliu' nimekuona na wewe "walewale!"
samahani lakini,ila na mimi nipo serious!

Haaaaaaaa kama kuhusu yule mdada,binafsi nilifanya kazi yangu kwakua nahusika na utetezi wa hali kama hizo pole sana jomba kwakukwazika na mchango wangu lkn ni muhom pia kuwa na mitazamo tofauti
 
Mimi mastercard Yao nisha ivunja we toka mwez wa pili mpaka Leo nafatilia card ifanye manunuzi online kila siku wananiambia utatumiwa meseji mpaka Leo kwel..yaan pesa yangu initese kutafuta na wenyewe wanitese for no reason Sipo tayari.

wanakera Sana,si wenyewe Arusha nyimbo ni hizohizo na ukitolea pesa ndani wanakata hela nyingi.ss cjui hiyo system ya kutengeneza ATM kadi imekufa
 
wanakera Sana,si wenyewe Arusha nyimbo ni hizohizo na ukitolea pesa ndani wanakata hela nyingi.ss cjui hiyo system ya kutengeneza ATM kadi imekufa
Ninadhani mastercard ya CRDB ina matatizo, omba kadi ya VISA tatizo lako litasolvika fast
 
Hyo 11000 wanakata kwa ajili tu ya bank statement??
Sikujua.
Hapo bado ATM Maintenance
Ukichukua hela kwa SIM banking wanakata mara mbili ya ATM
Nitapita bank kupata ufafanuzi kwa kweli buku 11 nyingi
 
banks zetu.ila usiwe na shida na fedha haswa usiku mwingi ukajichanganya crdb card unaweza kufa kama unaumwa.....
 
Jiunge na benki tu kama unafanya bishara inayohitaji kupitishia pesa benk au kama unafanya kazi na wanapitishia mshahara benki azawais godoro lako ukiongeza na M PESA Ni mahala pa usalama zaidi. Godoro halina benki charges, halina foleni, halina system down, huwezi kuibiwa kimtandao n.k
Kama humwamini wife hela zako weka mpesa. kama mnaaminiana weka kwa godoro. hakuna atakae kukuvamia nyumbani kama hutatangaza kwamba unahifazi pesa kwenye godoro

Hivi kumbe bado kunawatu wanafikra hizi hadi leo... basi TZ kazi bado kubwa
 
Ongeza hili, bank statement ya page moja ni shilingi elfu kumi na moja. Wizi kabisa. Hivi mimi kutaka kujua ela zangu kama benki wameiba au la mnanikata hizo hela. Ndio maana nilitoa hela zangu zote

umefanya jambo la msingi kuzitoa zote,,, ungeziacha baada ya siku nne tano hivi unakuta hela yako imepungua... Yani huuu wizi,,,,, mara kumi hata hizi m-pesa, tigo pesa au airtel money zina unafuu kidooogo... HUU WIZI SIJUI UTAISHA LINI????
 
Crdb ni majanga. .. wakuu mimi master card yao kila nikitumia kwa ATM naambiwa sina salio, ila nikiingia ndani wananipa hela.. nikiwauliza wananibinulia midomo...hela zangi lakini zinanitesa
 
subutu ..... Benki ya manyang'au. Kesho usikie wamerudi kwao kenya kama uchumi wanavyojiandaa kurudi.
siku nakumatt wakiondoka nitachinja jogoo nifurahi na wajukuu zangu...
 
Back
Top Bottom