Tulia dozi iwaingie, Lowasa wenu anaenda kuchunga ng'ombe vipi mtamsindikiza?
Itv ndio nini?
Tulia dozi iwaingie, Lowasa wenu anaenda kuchunga ng'ombe vipi mtamsindikiza?
Wapuuzi wachache hawawezi kuiondolea heshima ITV na Mengi.
Waungwana tutaendelea kuiangalia na kumheshimu Mengi.
for the first time nifah umeongea point ya maana sana uliyoshindwa kuiongea hivohivo wakati wana ukawa wenzako wakimzomea magufuli....atleast now uchaguzi umeisha i hope wote tutakuwa kitu kimoja kwa point yako naungana na wewe........
Wapuuzi wachache hawawezi kuiondolea heshima ITV na Mengi.
Waungwana tutaendelea kuiangalia na kumheshimu Mengi.
Yule mzee utamuheshimu wewe tu..mzee wa ndogondogo
Kama wewe....
We inaelekea unafata mkumbo kunanga usichokijua katika hicho kingamuzi cha AZAM, ITV inaonekana vizuri zaidi
Wala hanacho hicho kingamuzi ni majigambo ya Lumumba tu. Yawezekana baada ya tcra kuwafanya mbaya kwa kuingiza vingamuzi hata ule mtumba wako wa kariakoo ulishausahau.Umebaki kujaza tu viti kwenye mabaa kusikiliza habari na mipira. Majigambo ya watu wa Lumumba yanafahamika tu haswa wakishalipwa posho zao za elfu tano.
Sasa king'amuzi gani umekitupa ktk dust bin? Nijuavyo mimi ITV haina king'amuzi, ipo kote kote tu, yaani ulipo ipo! Utajikuta umetupa ving'amuzi vyote!
Umeisahau tbc