Recent content by Bharabhona kitwe

  1. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Lema apigwa na kuumizwa vibaya na polisi

    Kamanda Vuta buti mpaka kieleweke maendeleo yanakuja kwa conflict tu
  2. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Njombe: Silinde afanya kufuru, CCM wakimbilia Polisi kuomba msaada

    Hongereni sana
  3. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Lema apigwa na kuumizwa vibaya na polisi

    Pole sana kamanda
  4. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi siku hizi ni wahuni sana

    Precisely WILE
  5. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi siku hizi ni wahuni sana

    Kaka tusikimbie tatizo cha msingi tulitatue@jamaa- Mbishi
  6. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Tigo hamlioni hili?

    Hilo tatizo linaweza tatuliwa.TiGo iko bomba sana internet yake ina kasi balaaaaa.Hongereni sana TiGo
  7. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi siku hizi ni wahuni sana

    Lakini mada yake iko wazi na siyo vibaya tukiweka uzoefu ili kusaidiana katika hili
  8. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Wanawake wengi siku hizi ni wahuni sana

    Wadau kweli hali ni mbaya sana,walioko kwenye ndoa wamatani kutoka na wengine wanatamani kuingia cha msingi tumshirikishe sana Mungu ili atuwekee wepesi. NB:Tusitangulize matamanio ya macho ambayo ni ya muda mfupi
  9. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Hellow may i get in please!

    Yes you may.hongera sana kwa kuliona hili
  10. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Hellow may i get in please!

    Thanks all
  11. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania ICC justice is selective – Kagame

    Hivi ni kweli kagame kapigwa risasi leo
  12. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe kukutana na Waandishi wa Habari tarehe 24 Novemba 2013

    Kwani Zitto hayupo nchini nisaidieni wadau
  13. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Vurugu za kugombea kuchinja nyama huko Tunduma muda huu

    Hizo mbinu za waislamu kuoa wakristo haliwezi fika mbali maana wakristo wameshastuka.cha msingi kila mtu ashike imani yake
  14. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Vurugu za kugombea kuchinja nyama huko Tunduma muda huu

    Hili linasababishwa na serikali kutokutoa tamko kulaani hayo,mbona zamani tuliishi nao vizuri kama ndugu.why today?
  15. Bharabhona kitwe

    JamiiForums Tanzania Mpango wa kuwawekwa kizuizini Viongozi CHADEMA waiva?

    Mimi na ww tushirikiane kuiondoa serikali hii dhalimu yenye sera ya kujivua "gamba" hivi nyoka akijivua gamba anaendelea kuwa nyoka au anakuwa kondoo
Back
Top Bottom