Tafadhari msaada simu yangu ni samsung A8 inatumia lini 2 nina kama miezi 3 hivi nikiwasha data mfano kwa kutumia lini ya tigo mda huo huo lini ya tigo inakuwa haipatikani nikibadili na kutumia voda tigo inapatikana ila voda inakuwa haipatikani.
Tafadhani naomba msaada wakujua tatizo ni nini.
Maelezo yake yanautata ndani yake mengine yanaeleweka ingawa anajichanganya pale anaposema hapendi mshahara wala kuajiriwa but anamaliza kazi yake ndani ya dk3 na anawasaidia wafanyakazi wenzake kama una akiri nyingi kiasi hicho ungekuwa tayari unafanya mambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.