Kilichofa
Kilichofanyika kuchelewesha kuokoa mateka ulikua mpango wa makusudi, ili wapate muda mrefu wa kuwaua waarabu wa Gaza, mana tangu oktoba 7 waisraeli waliuliwa kama 1200 ivi na hao waarabu wa gaza wakauliwa roughly 70,000 na baada ya kuridhika ikabidi uitishwe mpango geresha wa...
Kilicho mkosti ni zile kauli zake za "Death to israel" "Death to america(USA)" na Ayatollah alijiapiza by 2045 Israel haitakuwepo kwenye uso wa dunia, Sasa jiulize jirani yako anakutamkia hivyo huku anafanya harakati za kumiliki nuclear? Utamuacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.