Acha uongo mkuu, Tangu lini Physician anafanya Upasuaji, sema labda alikua anawahi hospitali kuona wagonjwa wenye matatizo ya ndani(Internal medicine).
Lissu atakutwa na hukumu ya Kunyongwa, atakaa gerezani, then atapunguziwa adhabu ya kuwa kufungo cha maisha, then 2032 atatolewa gerzani kwa msamaha wa Raisi.
Chukua hii mkuu.
Kuna jambo linahitaji mjadala wa wazi, bila ushabiki wa kisiasa wala kumhukumu mtu kabla ya mchakato wa kisheria kukamilika.
Wakili Peter Madeleka amekumbana na hatua za polisi katika mazingira yanayohusishwa na masuala yake ya kisheria. Wakati huo huo, mwaka 2023 mfanyabiashara Rostam Aziz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.