Recent content by bhachu

  1. bhachu

    Dunia Haiwezi kuwa na Amani endapo kizazi cha Israel bado kipo hai

    Marekebisho ya heading: DUNIA YA KIISLAMU HAIWEZI KUWA NA AMANI ENDAPO KIZAZI CHA ISRAEL BADO KIPO HAI
  2. bhachu

    Dar: Gharama zinavyowaweka njiapanda akina Mama wanaojifungua kwa upasuaji

    MIMBA sio Dharula, Unamiezi 9 ya kujiandaa, acheni kulia lia.
  3. bhachu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁 Mkuu
  4. bhachu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    😃😃😃😃😃😃😃😃 ila hili jamaa lina dharau, kwamba kiongozi ajaye wa Iran ni lazima Trump ashirikishwe na amkubali.
  5. bhachu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Yap yap, pia na international pressure ilichangia
  6. bhachu

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kilichofa Kilichofanyika kuchelewesha kuokoa mateka ulikua mpango wa makusudi, ili wapate muda mrefu wa kuwaua waarabu wa Gaza, mana tangu oktoba 7 waisraeli waliuliwa kama 1200 ivi na hao waarabu wa gaza wakauliwa roughly 70,000 na baada ya kuridhika ikabidi uitishwe mpango geresha wa...
  7. bhachu

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    Hizo ni collateral damage, kwenye vita zinatambulika
  8. bhachu

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    Ushauri wa bure, waambieni mashehe wenu wawahimize na elimu dunia pia, Ulimwengu wa Kiislamu mpo nyuma sana kwenye teknolojia
  9. bhachu

    Iran ni taifa korofi sana! Apigwe tu sasa hakuna namna

    Kilicho mkosti ni zile kauli zake za "Death to israel" "Death to america(USA)" na Ayatollah alijiapiza by 2045 Israel haitakuwepo kwenye uso wa dunia, Sasa jiulize jirani yako anakutamkia hivyo huku anafanya harakati za kumiliki nuclear? Utamuacha.
  10. bhachu

    Israel yadai kuua Makamanda 40 na kuharibu mifumo ya ulinzi wa anga ya Iran

    Israel always speaks the language those Mullahs's understand
  11. bhachu

    Ni nani sasa anakamandi vikosi vya IRGC?

    Oktoba 7, 2023 was a turning point, Iran na Hamas walifanya a wrong calculate move.
Back
Top Bottom