Sio kweli... January alianza kupost hizi picha baada ya Baraza la mawaziri kutangazwa.
Ni ule muda ambao wengi walijua huenda angekuwa waziri mkuu na huenda hata yy aliamini hivyo.
Baada ya mambo kuwa tofauti na kujikuta kwenye wizara ya kawaida ndio hizi picha zikaanza kutambaa
Wakati ule AfandeSele alikuwa juu ya wote!
Mimi nilikuwa form 5 nakumbuka kila kitu.
Kwnye mtazamo kuna mstari anasema " mimi naogopa sana tunavyotukanana"
"Isije huko mbele tukachinjana"
Wakati huo alikuwa amechinjwa Steve 2k jamaa akaonekana kama nabii!
Afande alikuwa kileleni bhana, watu...
Huyu dada alishaondoka na kujiuzulu siku zaidi ya miaka miwili.
Alishaonekana akiwa upande wa ccm kasoro kujitangaza tu...bullshit
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikuwa mwaka 2008 niko chuo.
Huwa nina kawaida ya kwenda kuangalia mpira vibandani na siku hiyo nikawa huko pia.
Mfukoni nilikuwa nimeweka simu mpya haina hata siku tatu aina ya Samsung yenye Camera.
Mechi ya Arsenal na Chelsea ilikuwa mapumziko sasa nikawa nachezea simu yangu kama kawa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.