Mtihani wa kidato cha nne english language new format 2019

Mtihani wa kidato cha nne english language new format 2019

kwa mfano mkamjibu tuu anaipateje au kumsaidia na kumpa anachotaka mnapungua nini? tatizo wana Jf WENGI HUJIONA WASOMI NA WAKUBWA. je kama yeye ni mwalimu au mtu mzima anae rudia mtiani wa kidato cha nne? hili ni jukwaa la ELIMU anauhuru wa kuuliza. kuna huyu kajiona anajua anasema nenda necta, mambo mengine bora upite kimya tuu, kwahiyo necta ndo wametoa format?
Watu kama ww wenye utu na uelewa walikuwepo zamani jf.Siku hizi ni majibu mabaya tu.Ubarikiwe
 
mwenye pepa la literature in english new format atume
 
kwa mfano mkamjibu tuu anaipateje au kumsaidia na kumpa anachotaka mnapungua nini? tatizo wana Jf WENGI HUJIONA WASOMI NA WAKUBWA. je kama yeye ni mwalimu au mtu mzima anae rudia mtiani wa kidato cha nne? hili ni jukwaa la ELIMU anauhuru wa kuuliza. kuna huyu kajiona anajua anasema nenda necta, mambo mengine bora upite kimya tuu, kwahiyo necta ndo wametoa format?
Ndio maana Trump anatutukana sana " INGEKUWA RAHISI KUFIKIRI TUSINGETUMIA HISIA KUJAJI" yeye kaomba baada kumsaidia mnaanza kumdisi hili Ni jukwaa kubwa Kuna watu wa Aina tofauti tofauti humu.
Kwahyo unampo mdisi mtu kwa kuomba kitu flani hapo ndio tunapima ufahamu kuwa mdogo na inawezekana wew ndio insanity mzuri tu kushinda hao wanaomba kitu ambacho anakihitaji. Broo humu Kuna watu wanajifanya wako na elimu,pesa,ila ukiangalia mlo moja kwa siku kwao tabu[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Naomba mwenye mtihan format mpya wa literature ntashukur sana jamn
 
Habari ya majukumu dada na kaka zangu. Samahani Naombeni mwenye mtihani wa English language form four uliotungwa kwa kuzingatia format mpya (2019) anisaidie. Natanguliza shukran
Kaka hongera kwa kuja na wazo zuri la kitaaluma ila nina ombi kwako kama utaona sahihi fikiria kubadili title ya uzi ibebe dhima ya kubadilishana uzoefu na mitihan mbalimbali toka sehemu mbalimbali yawezakuwa joint examinations kama Tahosa a na mingne mingi,nahisi itatusaidia wengi
 
Nmeomba wadau pepa ya literature format mpya mwenye nayo anisaidie
 
Back
Top Bottom