Acha kuwa na akili mgando wewe ingia kwenye kilimo wewe anza kidogo kidogo sasa hivi kilimo ndio mpango mzima ,bado kuna maeneo unapata ardhi kwa bei kidogo unaanza nahiyo utapata mafanikio
Wewe ni mwanaume muhuni umesha ona mwanamke mwingine na tamaa inakusumbua kama umempata mtu amewekaza kwako huyo ndio mtu utakuja kujuta wewe naona unalitafuta
Ndg utapoteza muda kutafuta kazi ,kitu unachotakiwa kufanya tafuta sehemu tafuta wafugaji na wakulima jitangaze toa ushauri kama wataomba uwatibie mifugo yao tibu kama ulivyo jifunza ,anzafikra za kujiajili kwa sekta yako hiyo inawezekana kabisa chukua hatua ya kujiajili ndg pamoja na ugumu wote...
TTCL Nawao wanatuzingua Afisa Masoko kazi imemshinda hajui gharama zinapokuwa chini wateja wanaongezeka na zinapokuwa kubwa wanakimbia halafu TTCL ni mama wemgine ni watoto asipambane nao watu tutakuja tu gharama zikipungua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.