beatboi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 456
- 1,124
hapo nimetumia wingi sababu sisi wanaume ndio tunaongoza kutoa na kuachwa pia, swala la kuivest kwenye mapenzi hakuna, kila mtu anatoa kwa moyo wake kutokana na hisia zake zinavyomtuma, kama kusaidiana kawaida na haiwezi kuwa topic ya mtu kuachwa au kutoachwaHiyo sababu ya "wao wanakula hela zetu ngapi"
Yaani una judge investment ya mtu kutokana na kundi fulani alilopo?
What if anajiweza na hajawah kuomba hela?
What if ana uwezo kuliko jamaa