Askofu Lusekelo (Mzee wa Upako): Kesi ya Mbowe inakera sana na inaniumiza moyo

AMANI ya NCHI ni ya MUHIMU zaidi kuliko Mbowe au mwanasiasa yeyote yule.

Funzo kwa wanasiasa kwa hiki anacho pitia Mbowe kwa sasa ni;

Mtu yeyote yule au mwanasiasa yeyote atakaye jaribu kuchezea/kucheza na Amani ya Nchi atashughulikiwa kwa mujibu wa sheria bila kujali wadhifa wake, awe CCM, NCCR, CDM, CUF, n.k atashughulikiwa kikamilifu.

Amani yetu ni kitu muhimu zaidi kuliko mtu yeyote au chama chochote kile.
Amani ya nchi hii iko mikononi mwa Mwenyezi Mungu na Mungu ni Mungu wa haki. Anachotendewa Mbowe siyo haki, hata Kama unakula na kuamkia kwa hao wanaosigina haki na Uhuru wa Mbowe, jirudi hujachelewa. Na Kama unafanya makusudi sababu ya tumbo au ushabiki Mungu ndiye anajua, utajibu siku ya hukumu.
 
Amani ya nchi hii iko mikononi mwa Mwenyezi Mungu na Mungu ni Mungu wa haki. Anachotendewa Mbowe siyo haki, hata Kama unakula na kuamkia kwa hao wanaosigina haki na Uhuru wa Mbowe, jirudi hujachelewa. Na Kama unafanya makusudi sababu ya tumbo au ushabiki Mungu ndiye anajua, utajibu siku ya hukumu.
Hakika
 
Ni siku ya tatu sasa akihutubia ktk moja ya safu ya mafundisho yake katika jamii. Askofu wa Kanisa la TAG hapa Ubungo Kibangu Maarufu kama Mzee wa Upako ametoa maoni yake juu ya kesi anayohisi huenda ni ya kuzingizia ya Ugaidi dhidi ya Mbowe.

Askofu huyo licha ya kudai kuwa wafuasi wa chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema wamekuwa wakimtukana mitandao kwa kumhisi yeye na CCM ni maswahiba ametanabaisha kuwe yeye ni rafiki wa watanzania wote na vyama vyote na hata waio na vyama.

Ktk safu hiyo ambapo aligusia maswala ya Amani, Upendo na Haki ktk nchi amelalamikia kitendo cha mamlaka kumtubumu Mh Freeman Mbowe kwa makosa makubwa ya Ugaidi baada ya kuanza harakati za Kudai Katiba Mpya.

" Naamini Mbowe ni Mtu Muungwana, wangeweza kumuita na kumweleza kuwa Mzee Hii kasi yako ni kubwa punguza kidogo na angeweza kuelewa kuliko kumwita Gaidi" sehemu ya kauli zake.

Mzee wa Upako anapata taabu sana kutambua kama kweli Mh Mbowe ni Gaidi au Sio Gaidi. Huku akitanabaisha kuwa kesi hii itakuwa na Impact kubwa ndani na nje ya Taifa letu la Tanzania.

Amewashauri wenye mamalaka kuwa badala ya kumtweza Mbowe wamemfanya kuwa maarufu zaidi na kwamba Mambo kama haya yanawapa maadui zetu sababu za kuingilia Mambo Yetu kama Taifa.

Link ya video inapatikana ktk PTVTazanzania online Tv.


Sio kanisa la TAG HILO UWE NA UHAKIKA NA UNACHOKIANDIKA
 
Ni siku ya tatu sasa akihutubia ktk moja ya safu ya mafundisho yake katika jamii. Askofu wa Kanisa la TAG hapa Ubungo Kibangu Maarufu kama Mzee wa Upako ametoa maoni yake juu ya kesi anayohisi huenda ni ya kuzingizia ya Ugaidi dhidi ya Mbowe.

Askofu huyo licha ya kudai kuwa wafuasi wa chama cha demokrasia na Maendeleo Chadema wamekuwa wakimtukana mitandao kwa kumhisi yeye na CCM ni maswahiba ametanabaisha kuwe yeye ni rafiki wa watanzania wote na vyama vyote na hata waio na vyama.

Ktk safu hiyo ambapo aligusia maswala ya Amani, Upendo na Haki ktk nchi amelalamikia kitendo cha mamlaka kumtubumu Mh Freeman Mbowe kwa makosa makubwa ya Ugaidi baada ya kuanza harakati za Kudai Katiba Mpya.

" Naamini Mbowe ni Mtu Muungwana, wangeweza kumuita na kumweleza kuwa Mzee Hii kasi yako ni kubwa punguza kidogo na angeweza kuelewa kuliko kumwita Gaidi" sehemu ya kauli zake.

Mzee wa Upako anapata taabu sana kutambua kama kweli Mh Mbowe ni Gaidi au Sio Gaidi. Huku akitanabaisha kuwa kesi hii itakuwa na Impact kubwa ndani na nje ya Taifa letu la Tanzania.

Amewashauri wenye mamalaka kuwa badala ya kumtweza Mbowe wamemfanya kuwa maarufu zaidi na kwamba Mambo kama haya yanawapa maadui zetu sababu za kuingilia Mambo Yetu kama Taifa.

Link ya video inapatikana ktk PTVTazanzania online Tv.


Noma sana !
 
CCM inafanya kila inaloweza ili kuhakikisha Damu za Watanzania zinamwagika.
Sasa MUNGU yupo,watakufa wao mmoja mmoja hadi waishe wote kumanina mbwa hawa......
huu ndio mfano wa wafuasi wa mbowe, soma hiyo coment ya huyu mfuasi wa mbowe (drink water), ni ushahidi tosha kuwa Mbowe alifanikiwa kuwafundisha wafuasi wake vitendo vya kihalifu, na hii ndio ilikuwa mipango ya mwenyekiti ya kuwauwa viongozi wa serikali........kweli maji hufuata mkondo.
 
kama ni malaika basi nakubaliana nawe kuwa Mbowe sio Gaidi lkn Kama Mbowe ni binaadamu kama mimi na wewe basi inawezekana kabisa akawa gaidi......maana anaweza kutenda makosa......hajakamilika......
Uwe na akili basi angalau kidogo,ubinadamu wa Mbowe haumfanyi awe gaidi,kutokamilika kwake hakumfanyi awe gaidi.

Unahitaji ushahidi wa kisheria kumtuhumu ugaidi na sio hadithi za akina Kingai na wajinga wenzake
 
Uwe na akili basi angalau kidogo,ubinadamu wa Mbowe haumfanyi awe gaidi,kutokamilika kwake hakumfanyi awe gaidi.

Unahitaji ushahidi wa kisheria kumtuhumu ugaidi na sio hadithi za akina Kingai na wajinga wenzake
ndio maana yupo mahakamani, sasa kwa nini mnasema sio Gaidi wakati ushahidi haujakamilika na mahakama haija toa hukumu?!
Mahakama ndio yenye mamlaka ya kusema kama alikuwa anafanya vitendo vya kigaidi au la, tuache mahakama ifanye majukumu yake ya kikatiba.
sio mara leo unamsikia mzee Mbatia oohh kesi ya Mbowe ifutwe!! ohhh Mbowe sio gaidi!! huko ni kuingilia uhuru wa mahakama
 
Bavicha mnanena kwa Lugha?

Leo kusekelo mnamuita baba askofu?

Bean 1.jpg
 
ndio maana yupo mahakamani, sasa kwa nini mnasema sio Gaidi wakati ushahidi haujakamilika na mahakama haija toa hukumu?!
Mahakama ndio yenye mamlaka ya kusema kama alikuwa anafanya vitendo vya kigaidi au la, tuache mahakama ifanye majukumu yake ya kikatiba.
sio mara leo unamsikia mzee Mbatia oohh kesi ya Mbowe ifutwe!! ohhh Mbowe sio gaidi!! huko ni kuingilia uhuru wa mahakama
Confirmed,empty skull...baki hivyo hivyo
 
BUKU 7 wanamchukia Mama sababu Mama hataki siasa Cha mitandaoni za kuchafuana hajaweka fungu lao.
Wanamuona Pole pole ni shujaa wao.
Unamfahamu muasisi wa Lumumba BUKU 7 Club?? For your information, ilianza enzi za Kikwete, Nape akiwa msemaji wa chama, Magufuli aliendeleza tu.
 
Back
Top Bottom