Recent content by bervone1

  1. bervone1

    Ukweli tuuweke hapa kuhusu Kassim Mganga!

    Ulichokosea ni hiyo R kwenye WALAMBA MIDOMO
  2. bervone1

    Chura kuwa wengi Dar inasababishwa na nini

    Inasababishwa na wala chura nao kuwa wengi dar...
  3. bervone1

    Msaada jinsi ya kupata cheti cha kuzaliwa

    Rudi kwenu ukazaliwe upya
  4. bervone1

    Ndege Ya Tanzania, Ngazi za Kenya Airways

    Ndege zetu sijazikubali sana ila kuhusu ngazi kama umesafiri sana nadhani sio issue sana maana ndege haisafiri na ngazi bali ngazi zinaakuwepo airport... Umefanya utafiti kuwa huo ni uwanja gani wa ndege?
  5. bervone1

    Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

    Fundisho la nini sasa? Au umekariri
  6. bervone1

    Baadhi ya makampuni makubwa yanayotumia ndege kama zilizo agizwa na ATCL

    Umejaribu kuangalia kama labda hizo ndege wamezitumia enzi zipi??? Maana bila maelezo
  7. bervone1

    UKUTA: CHADEMA muungane kuwasaidia Polisi

    Hatuna muda huo... Yani raia ndio wawasaidie police na sio police kuwasaidia raia???
  8. bervone1

    Mbunge Godbless Lema akamatwa na polisi

    Serikali inaendelea kupuyanga
  9. bervone1

    Muonekano wa moja ya ndege mpya za Air Tanzania

    Ndege zinazidiwa ukubwa hata na ndege ya Raisi
  10. bervone1

    Huu ndiyo utofauti wa Kiba na Diamond

    ONE 8 inaitwa HANDS ACROSS THE WORLD sio across Africa jitahidi kufanya research kabla ya kuandika insha na hiyo pencil yako ya HB
  11. bervone1

    Wanaume acheni kujifanya mnajua sana shughuli before sex

    Umemnyima siku zote hizo si lazima achoke? Miaka minne akusubirie na nguvu za kiume hujui siku hizi ni adimu kama sukari TZ?
  12. bervone1

    Mnaomshabikia Rais wetu mnijibu

    Hiyo yake nayo ni kazi au kujikwamua? Halafu ambao hatuna kazi ndio tunakazana kila siku kubwabwaja "fanya kazi kwa bidii"
  13. bervone1

    Mjadala: Je, ni kweli Magari aina ya Nissan Xtrail ni mabovu?

    Kaka kama utashindwa kwa hiyo fuel consumption basi nunua passo au ist... Maana Voltz ni moja kati ya gari zinazokula mafuta kidogo kwa gari zenye ukubwa huo... Nimewahi kuitumia hiyo gari hapa Dar though ukweli haikuwa ya kwangu nikaja kununua Altezza, ndugu yangu nunua Voltz kama unaogopa...
  14. bervone1

    Jinsi ya kujilinda na vibaka side mirrors

    Mirror za pembeni ni side mirrors na ya ndani ni driving mirror... Gari haijawahi kuwa na site mirror
Back
Top Bottom