Mnaomshabikia Rais wetu mnijibu

Mnaomshabikia Rais wetu mnijibu

Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Amafanikiwa kuzuia wapiga deal na wale wezi wakubwa kutoka mlima mrefu barani Africa kupoteana mjini, baa siku hizi ziko tupu, amepunguza ulevi, zinaa na ht ile bia ile iliyopewa jina la gengela wahalifu a.k.a Ukawa kupotea mtaani
 
Amafanikiwa kuzuia wapiga deal na wale wezi wakubwa kutoka mlima mrefu barani Africa kupoteana mjini, baa siku hizi ziko tupu, amepunguza ulevi, zinaa na ht ile bia ile iliyopewa jina la gengela wahalifu a.k.a Ukawa kupotea mtaani
Wewe hayo yamekusaidia nini? Elewa swali!! Nimeuliza alichofanya kikakugusa mtz wa kawaid ni kipi? Acheni kujibu utadhan mnatumia matako kufikiri
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
1. Shilingi yetu imeimarika hivyo tunaweza budget au tuka plan kuhusu maisha yetu.
2. Huduma katika ofisi za umma zimeboreka, ukienda ofisi za halamashauri utasikilizwa, majibu ya kebehi yamekwisha.
3. Miradi ya maendeleo sasa hivi inafanyika kwa uhakika, hakuna ubabaishaji, nenda shinyanga ujenzi wa barabara unaendelea tena kwa umahiri wa juu, barabara ya dodoma mbeya karibu inakamilika.
4. Biashara sasa zinaeleweka, mzigo ukifika bandarini hakuna ubabaishaji unalipia unatoa contena yako, wale jamaa zetu wao tu ndio walikuwa na haki ya kutoa contana usipowatumia umeliwa haupo tena.
5. Miradi mingi inafedha hivyo wakandarasi wanauhakika wa kulipwa wamalizapo kazi zao, tatizo ni wale wapigaji hawana nafasi.

Vipi niongeze?
 
kwa uchache:
Ukusanyaji wa kodi hasa kwa wafanyabiashara wakubwa;
Wafanyakazi hewa kutumbuliwa(yawezekana wewew ni mmoja wao);
Nidhamu ya utendaji kazi serikalini na taasisi zake kuwa nzuri;
Kila mtu kuishi kwa kufuata sheria/ mwanzo mwenye pesa yuko juu ya sheria.


Lawama zako ni za msingi sana lakini peleka kwenye awamu iliyopita!!
Na bado walio zoea kuishi kwa ujanaja ujanja, jiandaeni kuolewa
 
Binafsi wala sijaona ugumu wowote wa maisha,maana nilichokuwa nakipata ktk awamu ya nne ndio hicho hicho nakipata ktk awamu ya tano.sasa nyie wenzetu mnaolalamika kuwa hela hakuna hamzioni hebu mtuambie mlikuwa mnafanya shughuli zp zilizokuwa zinawapa hela ktk awamu ya nne mpaka sasa hv mshindwe kuzipata?
 
Sukari imepanda bei

Petrol & diesel bei juu

Fedha imepotea

Uhuru wa habari haupo

Bunge amejimilikisha

Matangazo ya bunge live kayazuia

Vyama vya siasa kavipiga pini aongee peke yake

kila kitu ni balaaa.....hakuna nafuuu.
Wafanyabiashara wa sukari wanalipa kodi stahiki

Huku kwetu Petrol imeshuka bei kutoka 2400 hadi 2023 kwa bei ya leo ukilinganisha na October 2015

Mishahara haijapunguzwa pesa imepoteaje, sema rushwa zimepotea

Uhuru upi? mbona tumesoma Heche kafanya mkutano Tarime, msigwa Iringa, Tundu Lissu kawa msemaji wa chama, uhuru upi unaousema?

Mbatia na wabunge wa ukawa ndio wamemnyanyasa kijinsia naibu spika,

Nani kakwambia bungeni ni big brother house?

Kwani heche hajaongea Tarime leo? Mbona Lema anaongea redioni kila siku, au wewe uko ulaya basi mtafute utube. Au unazungumzia uhuru wa kutukana watu huo haupo.

Balaa litakuwa kubwa zaidi kwa majizi na mafisadi mahakama yao itakapoanza kazi.
 
Sukari imepanda bei

Petrol & diesel bei juu

Fedha imepotea

Uhuru wa habari haupo

Bunge amejimilikisha

Matangazo ya bunge live kayazuia

Vyama vya siasa kavipiga pini aongee peke yake

kila kitu ni balaaa.....hakuna nafuuu.
100% Correct
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Duu,kwa hiyo unataka akuletee hadi mchele kilo mbili mlangoni kwako kila siku? Alichonisaidia mimi mpaka sasa nikienda hosptalini napata dawa na natibiwa bila fyongo,watoto wanasoma bure, miundombinu ys barabara na majengo mbalimbali inazidi kujengwa, walals hoi kwa sasa hatunyanyaswi mitaani na walokuwa nacho,kila idara na kils ofisi serikalini nikienda nahudumiwa kwa haki bila zengwe, walokuwa wakikwpa kulipa kodi kwa sasa wanalipa na kuongezeka kwa huduma za jamii kutokana na ongezeko la mapato mf:mdogo nenda leo mhimbili,watu hawavunji sheria sahz kwa kutumia vyeo vyao hivyo kaleta usawa kwa wote kwani hakuna anayevunja sheria na kusema mimi ni mkubwa flani kwa lengo la kuachiwa,mf:mzuri muulze mama wa Mh mahiga na wengine wengi,ujangili umepungua kama si kuisha kabisa na mambo mengine meeeeengi sana. Uliza lingine. Nadhani kwa swali lako hilihili ukilipindua ns kuukiza upande wa pili kwa aliyegombea toka ccm B kwamba wanaompenda kafanya nini hadi sahz tutaanza kumulika kwa tochi kuwatafuta watu hapa.
 
Sawa, hata km asingepata magufuli urais, je yule mwenye vipaumbele vya elimu, elimu, elimu angesaidia nini ustawi wa maisha yako?
Ni rais gani duniani aliyebadili maisha ya watu ndani ya miezi nane?
 
Sawa, hata km asingepata magufuli urais, je yule mwenye vipaumbele vya elimu, elimu, elimu angesaidia nini ustawi wa maisha yako?
Ni rais gani duniani aliyebadili maisha ya watu ndani ya miezi nane?
sawa hatujakataa lakini kwanini yazidi kuwa mabaya kuliko aliyemtangulia na alikuwa dhaifu
 
Sukari imepanda bei

Petrol & diesel bei juu

Fedha imepotea

Uhuru wa habari haupo

Bunge amejimilikisha

Matangazo ya bunge live kayazuia

Vyama vya siasa kavipiga pini aongee peke yake

kila kitu ni balaaa.....hakuna nafuuu.
Pia Lugumi amelindwa hata ukaguzi wa vyeti unabagua wizara huko Kwa mwigulu hawafiki
 
Duu,kwa hiyo unataka akuletee hadi mchele kilo mbili mlangoni kwako kila siku? Alichonisaidia mimi mpaka sasa nikienda hosptalini napata dawa na natibiwa bila fyongo,watoto wanasoma bure, miundombinu ys barabara na majengo mbalimbali inazidi kujengwa, walals hoi kwa sasa hatunyanyaswi mitaani na walokuwa nacho,kila idara na kils ofisi serikalini nikienda nahudumiwa kwa haki bila zengwe, walokuwa wakikwpa kulipa kodi kwa sasa wanalipa na kuongezeka kwa huduma za jamii kutokana na ongezeko la mapato mf:mdogo nenda leo mhimbili,watu hawavunji sheria sahz kwa kutumia vyeo vyao hivyo kaleta usawa kwa wote kwani hakuna anayevunja sheria na kusema mimi ni mkubwa flani kwa lengo la kuachiwa,mf:mzuri muulze mama wa Mh mahiga na wengine wengi,ujangili umepungua kama si kuisha kabisa na mambo mengine meeeeengi sana. Uliza lingine. Nadhani kwa swali lako hilihili ukilipindua ns kuukiza upande wa pili kwa aliyegombea toka ccm B kwamba wanaompenda kafanya nini hadi sahz tutaanza kumulika kwa tochi kuwatafuta watu hapa.
safi sana, sasa wezi wa power window za magari wanakamatwa haraka haraka, ujambazi kwa wahasibu wanaovamiwa wakitoka bank umekwisha, ajali za barabarani zimepungua sana, maandamano yasiyokuwa na tija hakuna tena, kupora bidhaa na kuchania akina mama nguo kwa kisingizio cha maandamano hakuna.
 
Mimi naomba wanaoshabikia utawala huu wanipe majibu alichowasaidia wao mpaka sasa ni kipi?

Je kuna kitu gan kafanya kuleta unafuu wa maisha?

Sizuii rais kubana pesa ikose mtaani but navyojua kinyume cha kubana hela basi ni kushusha bei ya bidhaa maana pesa haipo

Sasa huu utawala pesa mtaani hakuna lakin vitu vinapanda bei kuchwao


Nyie mnaompenda kawafanyia nini mpaka sasa?
Hatuna cha kukujibu maana bado hujauliza swali...

Labda kama unataka na sisi tukulalamikie...
 
Afanye kazi gani anasubiri ajira kwenye Serikali ya viwanda wewe kuosha viatu hapo lumumba nayo unasema hapa kazi tuu.?
Hiyo yake nayo ni kazi au kujikwamua? Halafu ambao hatuna kazi ndio tunakazana kila siku kubwabwaja "fanya kazi kwa bidii"
 
Rais yupo kazini,sasa wewe endelea kupga mboyoyo unafuu wa maisha utaishia kuuandika hapa
 
Back
Top Bottom