Nafanansha na jinsi mambo yanavyokuwa pale madaktari bingwa(enzi hizo wakitoka nchi za nje) kuja kutoa huduma kwa magonjwa maalumu. Huwa hospitali walizofikia zinakuwa busy usiku namchana. Huwa natamani wabaki muda mrefu ili kutoa huduma kwa wagonjwa wengi zaidi.
Nadhani hata yeye aliamua...
Navyojua mimi Roman Reigns anajua anachokifanya katika mieleka.
Anajua kutengeneza na kuikuza tittle yake kwa jitihada zake binafsi.
Anajituma na anayo nidhamu ya kazi.
Ndiyo maana huwezi kuona mabifu ya kijinga kwake.
Na wengi hudai matokeo yanapangwa....... Nionavyo mimi ni kwamba kuna...
Labda,nasikia tu kama wewe. Ila unaweza kuzaliwa bila mikosi na ukaitafuta kwa matendo yako.
* Fikiria wale wauaji wa vikongwe kanda ya ziwa.
*Fikiria mambo ya Kibiti.
*Umeshawazia masuala ya ushoga?
*Fikiria suala la ushirikina na story zao za kula nyama za watu.
*Kuna wale tunaosikia...
Ulikosea kumkubalia mumeo tena mkiwa na lengo zuri la kuokoa pesa ili mjenge...kumbe hutaki(tabia isiyo njema) Jichunguze tabia hiyo na kisha usiioneshe kwa ndugu wa mumeo. Ukiweza hilo umefanikiwa.
Waoneshe upendo na imani ili wafanye hivyo pia kwako."Children react to kind treatment by...
Mashine iligoma ku-type kila walipotaka kuchapisha namba moja(_6) ili kuifanya kuwa 16,sasa ilibkuokoa muda ikabidi kuweka 0 na ndiyo maana imekuwa 6%.
Ila sisi tulio huku Jamhuri ya Uchumwaji tunashangilia maana tunaona ni kama huruma ya Mchumaji. Ingawa navyoona haina madhara kwa mchumaji...
Mbona kama kisa hiki kina miaka mingi tangu kimetokea,au kimejirudia tena??? Haya wanawake salute kwenu. Sasa naona njemba za Mugabe zimeanza kubakwa baada ya wanawake kuchoka kubakwa.
Sent from my C1605 using JamiiForums mobile app
1.Kabla ya kuwa padri ulikuwa mhuni wakati unadai umeingia huko katika umri wa 15 yrs!
2.Dini ya haki na kamali,nyeto uongo na lugha za ajabuajabu wapi na wapi.
Huyu jamaa sijui hata kama ni Muislam wa kweli. Labda kama kuna kazi katumwa huko imekuwa ngumu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.