Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,401
- 79,638
Ha haaa chizi wewePore dada basi wacha nisienderee kuchat nawe naona utaudhika zaidi...
Ha haaa chizi wewePore dada basi wacha nisienderee kuchat nawe naona utaudhika zaidi...
Hahahaha kumbe dada una sense of humourHa haaa chizi wewe
Kumbe mleta mada umetoka MARA ngoja wenzio waje ?Imefika wakati basi Baraza la Kiswahili lihalalishe tutumie "R" panapokuwa "L" na vice versa...
Maana watu tunashindwa kabisa kutumia hizi Letters panapotakiwa, mfano..
Tuongezee..
- Karo = Kalo
- Kura = Kula
- Laini = Raini
- Limbwata = Rimbwata
- Mara = Mala
- Leo = Reo
- Rekebisha = Lekebisha
- Vurumisha = Vulumisha
- Mchele = Mchere
- Analia = Anaria
- Elfu = Erfu
- Thelathini = Therathini..
- ,,,
- ###
- ....
Si muda mrefu nami nafikiri ntatumbukia kwenye hili janga...
Ni "RAISI" sio "RAIS"Inaudhi sana, mtu siku zote anasikia na kuona Rais wetu anaitwa Magufuli lakini utakuta yeye anaandika "Magufuri".
Halafu na yale ma "ga" wanayoongezea, yanakera sana.
Nahisi kama kuna usaliti wa lugha unafanyika kwa makusudi kabisa.
Acha fix bwana mdogo. Usilete mbwembwe kwenye FONOLOJIA kama huijui. Hahahahah eti L inatamkiwa pembeni ya ulimi, hatuna konsonati yaSolution.
L ni konsonanti ambayo hutamkiwa pembeni mwa ulimi hii tunaita KITAMBAZA
R ni konsonati inayo tamkwa Kwa kupigapiga ulimi hii tunaita KIMADENDE
By muhadhili..
acha uongo
"HATUNAGA" ndo lugha gani?Bahati njema kanda ya huku hatunaga watu wenye hivyo vilimi vizito!