Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,895
- 33,457
Watu wamepewa hadi nafasi za kugombea urais nini nafasi ya uenyekiti bhana?Yesu Kristo alisema huwezi kumpa mbwa chakula cha watoto, chadema haiwezi kuwapa uenyekiti makanjanja wa ccm ni kuua chaama
Chadema ni kama jalala kila uchafu toka ccm unatupwa huko kisha unaokotwa tena kuja kufanyiwa recycle