Recent content by Benjonathantz

  1. Benjonathantz

    Hivi ndo JamiiForums inatumikaje miaka hii?

    Sio uzee wala nini. Nimejikuta na log in kwenye ankaunti yangu ya JamiiForums baada ya muda mrefu, najikuta naona mapichapicha. Kuna mabadiliko mengi humu dah! Nahisi kutakuwa kwa moto sana. Nielekezeni Jamani twende sawa.
  2. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Eti ee??
  3. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Umeona ee??
  4. Benjonathantz

    Kwa nini unamchoka mkeo? Dawa hii hapa

    Ukisikiliza maneno ya watu. Itakuwia Vigumu kutunxa Mapenzi ya Ndoa...
  5. Benjonathantz

    Kwa nini unamchoka mkeo? Dawa hii hapa

    Jambo jingine la Msingi. Hii ni kwa Wanaume.. >Swala la kulea mtoto, Kupika na kadhalika sio Kazi ya mwanamke pekee. Unakuta mama hayupo nyumbani kaenda kwenye mishughuliko na mtoto kabaki na baba yake nyumbani. Mtoto akajichafua kwa haja kubwa. Kwa asilimia kubwa ya wanaume utasikia akisema...
  6. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Katika mikoa inayoongoza kwa watu wenye upendo Tanga ni mojawpo bhana....
  7. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Hahahaaa noumaaa
  8. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Sawia....
  9. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Mm hata cjaliona hilo bwawa la maji machafu... huh!! Maana network ya kichwa iliwaza kuondoka tyu...
  10. Benjonathantz

    Mwarabu kanipa pk...

    Siendi tenaaa!! Mie ni Bora ni lale nyumbani
  11. Benjonathantz

    Mama mkwe amefanikiwa!

    Sasa kati yangu na ww chizi nan??? Unapombeka hadi unaibiwa... Doooh!!
  12. Benjonathantz

    Vijana Tanzania Amka Tupambane na Umaskini

    Masterz yako hiyo umeikota au? Unashindwaje kujiajiri unasema ccm huwaelewi!!! Changamka
  13. Benjonathantz

    Mama mkwe amefanikiwa!

    Mpe na namba ya siri ya Tigopesa, Mpesa na Bank... Ili lyf linoge.
  14. Benjonathantz

    Huaweii y300

    Tanga je?
Back
Top Bottom