Ukistaajabu ya Musa.
Leo bwana huyu kachomekea shati kijani kuomba ridhaa?
Alimtukana kiongozi wa wakatoliki nchini wakati huo. Akasema misikiti itageuka kuwa sunday School. Akasema mabaya kuhusu Mwenge wa Uhuru.
Alimsema sana kwa kebehi na kejeli Mh. Mkuu wa mkoa achilia mbali kusema 'Ubunge...
Pole sana kijana, tatizo hilo ni kubwa kulingana na 'Background' yako na umri. Hakuna ndoa isiyo na misukosuko lakini kila mtu ana aina ya 'misukosuko' yake. Pia waweza mwona mtu leo akiinjoi kumbe dhoruba yake inamsubiri mwaka wa7 nawa 8 wa ndoa yake. Hivyo nikuondoe hofu, sema tatizo lako...
Hivi Bendera hizi za Taifa mbona hazishushwi usiku? Au mambo yamebadirika? Maana wengine tulisoma enzi za "MwanaLumumba wa Kongo" na sasa ni 'hapa kazi tu! ' au walinzi wamelalo? Ni pale Tazara hq na jirani yake For you Sun Shine nobble life usiku huu.
Hapo kazi tu. Kama wamekuja maonesho ya mavazi hapo sawa. Mbona alikuwa akivaa hivyo hivyo na kazi zikaenda barabara zikajengwa n.k, tuyaangalie mambo ktk upeo tofauti na huo wa kumwita mshona kaunda suti za m.. m.. Mstaafu
Miaka hii miwili ya mwanzo ya Mh. JPM tutashuhudia vituko vya wizi kwa taifa ambavyo havijawahi tokea popote duniani. Nyie si mlishangaa watu kubeba pesa kwenye viroba na mpaka leo hakuna aliyeadhibiwa, mkaona kontena la meno ya tembo na idadi ya tembo wetu kuisha kutoka 109,000 mwaka 2009...
Mauwaji ya Wanadamu wenye Albinism na Tembo ni mambo ambayo "jamaa" hawezi kuepuka lawama.
Nilimshangaa JK aliposema akistaafu anaanzisha mfuko wa kusaidia tembo! Kweli umeshindwa kulinda tembo ukiwa Rais wa nchi na Amiri Jeshi Mkuu wa majeshi ya Ulinzi na Usalama uende kusaidia Tembo uweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.