Recent content by Ben Moha

  1. B

    JamiiForums Tanzania Katiba: Ibara ya 54 inazipa Kinga Escrow na Makinikia kutokushtakiwa Mahakamani

    Kinachokuwa challenge sio ushauri wa cabinet, ni vitendo vya uvunjifu wa sheria mf seth sio raia, ameidanganya Brela-hiyo ni jinai na haikingwi wala kuhusiana na cabinet
  2. B

    JamiiForums Tanzania Mitandao ya simu kutoa siri za wateja, uhuru wa faragha upo wapi?

    Wala sio kosa. Soma sheria ya mawasiliano tanzania
  3. B

    JamiiForums Tanzania Le mutuz: the good news. Le mutuz tv online (lto)

    Nimrkua follower wako i guess since 2012, i hv been see u expanding... hongera mkuu
  4. B

    JamiiForums Tanzania TTCL 4G siyo ya Mchezo Mchezo...!!!!!

    Yah wako poa.. ninanunua mm GB 7 kwa sh ef 5 mwez duration yake. Zile social nets ni free hadi insta-unlike other nets ambao wao ni WTF tu- na hata data bundle ikiisha, unaendelea kupata social nets hadi expiring ya muda
  5. B

    JamiiForums Tanzania Sheria yetu ya madini na wabunge wasioelewa dhima yao

    Mwenye whatsapp group la mambo ya siasa ninaomba aniadd tafadhali.. 0739958855. Asante
  6. B

    JamiiForums Tanzania Mafundi simu wa upande wa hardware naomba tukutane hapa

    Mkuu nina tecno phantom Z imevia kioo. Inaweza ni cost kiasi gani repairing yake?
  7. B

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    At least umenirudisha kwenye mstari.. mm ni lawyer! Kwenye computer nina vicertificate vya basic & advanced computer app na maintainace! Sasa baada ya kuwa interested na Forex nimeanza kusoma kitabu cha brian na kuna App moja ya tuitorial. Sasa nilipoona hizi Python, binary, programing c c...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Nimeanza kusoma kitabu cha Brian jioni hii. Naanza na full version 2nd edition.. nataka nipate mwanga wa kutosha kwanza
  9. B

    JamiiForums Tanzania Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

    Dah! Huu uzi niliuona lakini nikaupuuzia. Imenichukua masaa ma4 kusoma post yako ONTARIO pamoja na asilimia 90+ ya comments za wadau. Nimejuta kwa nini sikusoma juzi. Nimeisubscribe hii thread.. najaribu kuona kama naweza kukufollow pia.. niko mwanza. Na ninaomba kuwa miongoni mwa hao 3
  10. B

    JamiiForums Tanzania John Malya: Ernest Mangu ameacha ofisi akiilinda Ibara ya 18 ya Katiba ya Tanzania

    Ni kweli! But amewajibika vipi kwa vitendo katika kauli hii. kwa maana amewachukulia hatua gani hao polisi walioenenda kinyume na Hilo
  11. B

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya neno Cc

    Nyongeza ya hii ni kuwa.. Cc haimpi haki aliyekuwa copied alireply! Ila bcc: anaweza reply
  12. B

    JamiiForums Tanzania ACACIA Mining PLC set to close loss-making mine as Tanzania export row deepens

    Na taarifa isiyoshtua! Bali inafurahisha hadi moyoni. Wasepe
  13. B

    JamiiForums Tanzania Mh! Ukiyastaajabu ya Mussa utayaona.....

    Si kila Mpinzani ni Mpinzani..
  14. B

    JamiiForums Tanzania Sakata la Buzwagi hatuwezi kulisahau

    Nani alitakiwa awe serious zaidi yake?
  15. B

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Follow this link to join my WhatsApp group: TUONGEE VITABU Group hili dhumuni ni Mapitio juu ya vitabu na mijadala itatokana na kitabu hicho!. Member yyt yuko huru kufanya uchambuzi na mapitio juu ya kitabu akipendacho. Hatuhitaji mijadala inayokashifu.
Back
Top Bottom