Recent content by Below 40

  1. Below 40

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nenda Twitter ila sio kila code unabeba tu usiende kwa speed utapigwa mpaka ufe
  2. Below 40

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    🙌 mwisho wangu nili stake 90k ikapigwa inaniuma mpaka leo nikaacha saiv ni mwendo wa mega odds tu stake jero tukiendekeza tamaa ndio kuangukia pua
  3. Below 40

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwezi kuuza kiwanja kwa sababu ya jerojero labda kama una stake kibunda
  4. Below 40

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mi nimeshinda huo mkeka wake jana sema nilicheza edit yake odds 120 draws zimetoa na original yake odds 2k zimetoa pia ila niliweka 400
  5. Below 40

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wakuu tuache masihara hivi wanaija inakuaje mtu ana boom draw match 10 si uchawi huu jana watu wamepiga hela Twitter huko
  6. Below 40

    Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

    Stop reading nietzsche huwez kuwa na furaha
  7. Below 40

    Ugunduzi wa aina mpya za Dawa za Kulevya daily ni anguko kuu kwa Vijana

    Dr Walter au sio? Na wewe unakaribia kufa? Utanipa deal la kutosha hizo cash sawa
  8. Below 40

    Nauza kiwanja cha Sqm 1900 Kigamboni kwa Tsh. Milioni 45

    Tunasubiri mtanange mkuu
  9. Below 40

    Nauza kiwanja cha Sqm 1900 Kigamboni kwa Tsh. Milioni 45

    Madaktari pambaneni sasa.. popcorn ziko wapi
  10. Below 40

    Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

    shukrani sana mkuu.. pikipiki naijua sema self esteem is so down ndio maana nawaza labda niende shamba nikaji isolate labda kidogo
  11. Below 40

    Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

    Nipo dar es Salaam ila nafikiria kuhama tu huu mji
  12. Below 40

    Nahisi siku zangu za kuishi Dunia zinakaribia kuisha, sielewi!

    I feel you bro.. I think I'll die if I don't get any job soon
Back
Top Bottom