Halafu wakishapokea fidia wanazipiga juu kŵa juu.
Viongozi wa Africa wangeachana na mambo yaliyopita ambayo kimsingi hayana faida yoyote kwa kizazi cha sasa badala yake wadeal na utumwa wa sasa uliopo kwamba viongozi wanaingia madarakani wanazifanya nchi kuwa mali zao binafsi, wanaiba...
Huu utaratibu wa kuwa wema kwenye mfungo, na kutenda mabaya mkishafungua umeandikwa kwenye kitabu wapi?
What is the point of fasting? Kwanini muwe wanafiki kwa kujifanya wema?
Uko sahihi, Chatgpt ni kama windows OS ina very user friendly responses na inafanya vizuri kwa simple tasks.
Claude ni kama Linux OS ina very technical responses jargon kibao, inafanya vizuri kwenye complex tasks.
Deepseek ilipewa hype na kuwa overrated sana ilivyoingia.
Eid wanaosherekea ni wachache supply ndogo, demand ya mialiko inakuwa juu.
Christmas ni kama kila mtu anasherekea, supply ni kubwa, huwa hakuna mialiko. Haijalishi dini, popote pale unajialika mwenyewe hata ukisogea kwa jirani nyumba ya pembeni unakutana na pilau.
Before even debating the Vice President’s statement, I would expect a journalist with 30 years of newsroom experience to apply real scrutiny.
News analysis is not about repeating a political message, it is about testing it against facts. Where is the examination of the government’s actual...
Maamuzi ya kisiasa tu. Kwasasa, Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha nchi nzima, hasa baada ya mradi wa JNHPP. Hivyo, tatizo si uzalishaji, bali usambazaji na ufanisi wa gridi ya taifa. Tungetakiwa ku-prioritize kwanza miundombinu ya ndani ya usambazaji, badala ya kushughulika na hii...
Bongo mpaka mwenyekiti wa mtaa anatumia akili za mwenye kitumbe. Mwenye kitumbe akiwa incompetent automatically mfumo mzima unakuwa incompetent.
Halafu hawataki kuface ukweli wanapenda kujidanganya sana yani wanaishi kwenye uongo uongo tu vile kunawapa comfort bila kujali kwamba ni ya muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.