Recent content by Beliscent

  1. Beliscent

    UN yapitisha azimio la kutambua utumwa wa Waafrika kama uhalifu dhidi ya binadamu. Israel, Marekani na Argentina zapinga

    Halafu wakishapokea fidia wanazipiga juu kŵa juu. Viongozi wa Africa wangeachana na mambo yaliyopita ambayo kimsingi hayana faida yoyote kwa kizazi cha sasa badala yake wadeal na utumwa wa sasa uliopo kwamba viongozi wanaingia madarakani wanazifanya nchi kuwa mali zao binafsi, wanaiba...
  2. Beliscent

    Kasema anipi mpaka niende kwao Kujitambulisha na Mimi nimemwambia Siendi mpaka anipemo

    Una nia ya kumfanya mkeo halafu unavyomuongelea as if umekutana na malaya!
  3. Beliscent

    Hii sio sawa yani jana tu mmemaliza

    Huu utaratibu wa kuwa wema kwenye mfungo, na kutenda mabaya mkishafungua umeandikwa kwenye kitabu wapi? What is the point of fasting? Kwanini muwe wanafiki kwa kujifanya wema?
  4. Beliscent

    Claude ni chat bot nzuri kuliko ChatGpt, ni swala la muda tu

    Uko sahihi, Chatgpt ni kama windows OS ina very user friendly responses na inafanya vizuri kwa simple tasks. Claude ni kama Linux OS ina very technical responses jargon kibao, inafanya vizuri kwenye complex tasks. Deepseek ilipewa hype na kuwa overrated sana ilivyoingia.
  5. Beliscent

    Upande wa pili Wanafosi mwaliko kwanini

    Eid wanaosherekea ni wachache supply ndogo, demand ya mialiko inakuwa juu. Christmas ni kama kila mtu anasherekea, supply ni kubwa, huwa hakuna mialiko. Haijalishi dini, popote pale unajialika mwenyewe hata ukisogea kwa jirani nyumba ya pembeni unakutana na pilau.
  6. Beliscent

    PMNA: Pongezi Makamu wa Rais Bal. Dr Mchimbi Kuusema Ukweli Kuhusu Ujinga Huu wa Watu Kugombana Kwasababu ya Vyama!. Watanzania Tuukatae Ujinga Huu!.

    Before even debating the Vice President’s statement, I would expect a journalist with 30 years of newsroom experience to apply real scrutiny. News analysis is not about repeating a political message, it is about testing it against facts. Where is the examination of the government’s actual...
  7. Beliscent

    Viongozi wa dini, masheikh hasa, Maaskofu, Statesmen wote wameshindwa kumwambia /kumshawishi Samia kumwachia Lissu kwa sababu hana hatia!

    Tofauti ni kwamba bado hajatokea wa kubadili katiba ili kujiweka moja kwa moja madarakani mpaka kifo lakini ndiko tunaelekea.
  8. Beliscent

    ByteDance wamekuja na A.I inayoitwa Seedance 2.0 inatengeneza video bora unaweza kusema ni video halisi. Soko la watengeneza filamu liko mashakani?

    AI za china huwa zinakuja na hype kubwa sana, baadae zinakufa kifo cha mende mfano mzuri ni deepseek. Wacha tuone na hii upepo ukitulia.
  9. Beliscent

    Ridhiwani Kikwete: Mafanikio Ya Tanzania Yanaonewa Wivu Na Wengi

    Labda mafanikio yao ya ujinga, ufisadi na massacre.
  10. Beliscent

    Umeme wa 400kV toka Uganda -Tanzania, mchakato umeiva na umeanza, kugharibu dola milioni 250 za kimarekani

    Maamuzi ya kisiasa tu. Kwasasa, Tanzania ina uwezo wa kuzalisha umeme wa kutosha nchi nzima, hasa baada ya mradi wa JNHPP. Hivyo, tatizo si uzalishaji, bali usambazaji na ufanisi wa gridi ya taifa. Tungetakiwa ku-prioritize kwanza miundombinu ya ndani ya usambazaji, badala ya kushughulika na hii...
  11. Beliscent

    Tanzania yaomba msaada China kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya AFCON 2027

    Bongo mpaka mwenyekiti wa mtaa anatumia akili za mwenye kitumbe. Mwenye kitumbe akiwa incompetent automatically mfumo mzima unakuwa incompetent. Halafu hawataki kuface ukweli wanapenda kujidanganya sana yani wanaishi kwenye uongo uongo tu vile kunawapa comfort bila kujali kwamba ni ya muda...
  12. Beliscent

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Msimu uliopita alikuwa anabebwa na mzimu wa klopp
Back
Top Bottom