Kiukweli mimi siwezi kumuunga mkono'leonardo davinci' kuwa yupo sahihi, na vilevile siwezi kuwaunga mkono wanaompinga huyu jamaa.Taarifa hizi zote zinaletwa pasipo ushuhuda na ushahidi wa kutosha juu ya pande zote mbili,kwaio ni ngumu kusadiki pande mojawapo ila zina'draw attention" ya kujenga...