New business idea ni juu ya kununua dhahabu kwa uchuuzi wa gramu moja,mbili mpaka tatu kwa kuokoteza kwa walanguzi na kwenda kuiunga kwa wataalamu ili kutoa kama ni gramu 12,50 au kg.Na hii inapendeza kufanyika zaidi ukiwa mgodini hukohuko.Mathalani gramu unanunua kwa kiasi cha shilingi 25000,na...
Tpaul watu wananung'unika kwa kuwaita TZ wapumbavu hapa jamvini tena umetusitiri sana mbona Kenyata alimuambia Nyerere anawaongoza wafu tena kipindi icho ni Baba zetu na Mama zetu na mababu zetu du ama kweli nchi hii...hata vijana wa nkurunzinza wanatushinda
Kiukweli mimi siwezi kumuunga mkono'leonardo davinci' kuwa yupo sahihi, na vilevile siwezi kuwaunga mkono wanaompinga huyu jamaa.Taarifa hizi zote zinaletwa pasipo ushuhuda na ushahidi wa kutosha juu ya pande zote mbili,kwaio ni ngumu kusadiki pande mojawapo ila zina'draw attention" ya kujenga...
'Uaminifu kazi' katika hali ya kukuweka sawa siku ingine usiongee bila kufanya utafiti Tanzania daima halilimilikiwi na Mbowe kwa kukusaidia tu nenda ofisi ya msajili au nenda habari maelezo ukaulize utajua mmiliki wake ni nani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.