Recent content by Bechede

  1. Bechede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    https://www.instagram.com/reel/DLICs3XOePY/?igsh=M245YzdsdWRkY3hp Kweli kabisa
  2. Bechede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huyu sasa ndio anastahili kuwa chair wa African Union. Anajua nini nchi inahitaji kupiga hatua za kweli.
  3. Bechede

    JamiiForums Tanzania Huduma ya Mixx by Yas (zamani tigo pesa) haipo hewani

    Aisee...! Mpaka dakika hii bado sipati huduma. Huu mtandao sasa wanapoelekea si kuzuri
  4. Bechede

    JamiiForums Tanzania Huduma ya Mixx by Yas (zamani tigo pesa) haipo hewani

    Wamezingua sana
  5. Bechede

    JamiiForums Tanzania Katarama mnawahi wapi?

    Mgongano wa kimasilahi na kumpa jina baya mbwa kabla ya kutaka kumuua ndicho ninachokiona, hata hivyo nitatoa hukumu yangu nikisikia maelezo ya upande wa pili unasemaje?!
  6. Bechede

    JamiiForums Tanzania Niliamua Kuitest Nissan Dualis barabarani

    Unachokisema ni kweli ila kwa mazingira yangu nilikuwa naikandamiza mashine kwa uwezo wake wote wa mwisho iliyokuja nao kutoka Japan. Na kwa njia iliyonyooka kisahani kinasoma 180km ila naikopea mpaka 180+kph(181-190)kph, gari ilikuwa mark 2 GX110 kwa kipindi hiko.
  7. Bechede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Omba omba na mwenye njaa hawana kauli, wanafuata upepo wa tajiri.
  8. Bechede

    JamiiForums Tanzania Nimeacha nyumba yangu kwasababu ya ndugu

    Nuclear family (baba,mama&watoto) Vs Extended family (baba,mama,watoto&ndugu wa kutosha). Hapo kwenye extended ndio balaa tena kama una uwezo mdogo lakini kwenye ukoo wewe ndio unaonekana ndio tajiri, utajua hujui. Yaani wakati wewe unaweka mipango yako jinsi ya kuendesha familia na uchumi...
  9. Bechede

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini katika Vita zinazoendelea Duniani siwaoni Wanawake waliopo jeshini wakiwa Frontline katika mapambano vitani? Haki sawa ipo wapi?

    Usawa wanaoutaka ni kwenye kazi za ofisini na nafasi za kisiasa ila vitani kwenye frontline hutowasikia wakililia hiyo nafasi ya kizalendo.
  10. Bechede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kusema ukweli, wanawake wengi hawana content

    Wiki ijayo nenda na nondo za Water Rodney, "How Europe underdeveloped Africa". Ukitoka hapo mpige na ujenzi wa SGR lot 5. Ukitoka hapo muulize kuhusu report ya Mkaguzi wa hesabu za serikali. Akitoka hapo hana hamu na wewe. Wale wa kampeni ya kataa ndoa hapa washapata pa kukazia.
  11. Bechede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana wa umri mdogo kujihusisha kimapenzi na watu wazima chanzo ni nini?

    Sababu ni zilezile tu; 1. Poverty 2. High taxes 3. Poor infrastructure 4. Land alienation 5. Poor education system 6. Forced labour
  12. Bechede

    JamiiForums Tanzania Uteuzi Julai 31, 2024: Rais Samia aunda Tume ya Kutathmini na Kushauri kuhusu Masuala ya Kodi (Presidential Commission on Tax Reforms)

    Tatizo linaanzia kule zinapotungwa hizo sheria za kodi. Hiyo tume sijui kama itaweza kuleta jambo jipya.
  13. Bechede

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kuoa Msukuma, chakula Chao cha asili nini nijiandae?

    Demu wako anakula kuliko wewe?! Kuna siku utakuja kula makofi.
  14. Bechede

    JamiiForums Tanzania Huu umilikishwaji wa vitega uchumi muhimu vya nchi kwa waarabu, ni uwekezaji au uvunaji?

    Ngozi nyeusi kunamahali inashida hasa kwenye ubongo. Tunahitaji kufanyiwa factory reset ya kifikra.
Back
Top Bottom