Recent content by beahunja

  1. B

    Exclusive interview with Mohammed Dewji

    1. Kwa nini kiwanda chako kinatengeneza magunia chini ya kiwango kwa ajili ya export mpaka kuathiri biashara za mazao kama kahawa? 2. Fedha za mfuko gani sijui ila ilihusika suala la LIBYA siku hiyo ambazo Waziri Membe aliziomba kupitia kampuni kujenga kiwanda cha saruji LINDI unazimendea kwa...
  2. B

    NAPE awaonya CHACHAMUDA, Maroli ya CCM yapo tayari kubeba watu!

    NAPE asije akawa anatafuta upenyo wa kutumia maroli kubeba watu kuwapeleka JANGWANI a.k.a CHADEMA SQUARE. inawezekanaje konda agome kuwabeba wenye sare za ccm?
  3. B

    Baraza la mawaziri la mseto ni dawa au mbinu za kisiasa?

    kama itatokea Mheshimiwa Rais Dr. Jakaya Kikwete kuteua baraza la mawaziri la mseto itakuwa sio kwa ajili ya kujitafutia umaarufu baada ya kumaliza muda wake wa utawala. Bali kushirikisha watu wanaoonekana kuwa na mawazo mazuri na haiba njema, uadilifu na kuaminika kutokana na kigezo wapo nje ya...
  4. B

    Kumbe Freemason ina faida kubwa sana kwa nchi yetu

    mnataka kutuaminisha kuwa kila mwenye vimaendeleo ni freemason? kama ndio hivyo na wale wasio na maendeleo kwa uzembe wao ni kina nani? tunaelewa kweli nini maana ya fremanson? mfano baadhi ya raia wanasema mwanamuziki Jay Z ni freemanson ndio maana ana mafanikio makubwa. kwa nini asipate...
  5. B

    Mbunge wa Sumbawanga Mjini (CCM) avuliwa ubunge na mahakama!

    nini maana ya hii, kuwa mahakama zipo huru na zinatenda haki?
  6. B

    Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

    mbona kimya saaaaaaana
  7. B

    Tundu Lissu ashinda kesi ya kupinga ubunge wake

    nini kinaendelea huko jamani?
  8. B

    Mtei amefilisika kimawazo - Zitto

    ZZK yupo sawa hiyo sio kejeli. jambo la msingi viongozi wachunge kabla hawajaongea jambo ambalo linaweza kuwa na athari kwao wenyewe na taasisi zao.
  9. B

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    KERO YANGU KUSHUKA KWA KIWANGO CHA JUU UBORA WA ELIMU ITOLEWAYO KATIKA SHULE ZA SERIKALI, SHULE ZA SEKONDARI NA SHULE ZA MSINGI. Kushuka huku kwa ubora wa elimu kunapelekea kuibuka kwa matatizo makubwa miongoni mwetu wakulima kwa sababu hatuna uwezo wa kumudu kuwasomesha watoto wetu shule nzuri...
  10. B

    Tunakusanya Kero ambazo ungependa zisemewe Bungeni na Nje ya Bunge na Viongozi wa CHADEMA

    KERO ZANGU - Kupanda kwa gharama za pembejeo za kilimo na madawa ya mifugo. kwa upande wa pembejeo za kilimo eneo la mbolea bei zimekuwa zikipanda kila mwaka kwa kiwango kikubwa sana mfano msimu wa 2008-09 bei ya mfuko wa kilo 50 mbolea aina ya urea na can ilikuwa tsh. 35,000/- na msimu wa...
  11. B

    Mfanyakazi wa Bodi ya Mikopo akamatwa kwa kuingiza Majina hewa na kujipatia ulaji mil 91

    tatizo nchi yetu hakuna utaratibu kwa uthibiti wa mapato ya kila mmoja kulingana na source zake. ghafla mtu anakuwa na milioni 91 anachukuliwa poa.
  12. B

    A Nation That Afraid Its PEOPLE

    A nation that is afraid to let its people judge the truth and falsehood in an open market is a nation that is afraid of its people. John F. Kennedy Read more: John F. Kennedy Quotes - BrainyQuote
  13. B

    Babu wa Loliondo afungiwa kwa muda kutoa huduma...

    Jambo la msingi ni kuongea na babu kuona ni jinsi gani anaweza kutoa huduma ya matibabu nje ya eneo ambamo yupo kwa sasa. Kama inawezekana dawa ikatengenezwa na kuweza kutumika eneo lolote tofauti na LOLIONDO itafaa. Na kama masharti yake kuwa ni lazima mgonjwa aende LOLIONDO basi taratibu za...
  14. B

    Lowassa anapuliza huku na huku, CHADEMA na CCM?

    Hapimwe? Hapimwe Uhadilifu Wake? Hapimwe nn? Hivi kweli kuna mtu ana mashaka na Ripoti Dr. Harrison Mwakyembe? Mnataka nn ili muamini jamaa hafai. Hau tunataka kujaribu sumu kwa kuilamba. HILI JAMBO HALIJENGI HATA KIDOGO " TUSIDANGANYIKE NA UZUSHI" Tusimame imara kulinda rasirimali za nchi yetu...
  15. B

    CHADEMA waja na na mtindo wa Siasa za Kurusha Ngumi Hewani

    Lazima upo chini ya kivuli kinachotokana na neema ya watawala ni sahihi kabisa kutetea matawi kivuli kiendelee
Back
Top Bottom