Wanawake tunaumia sana moyon, muonyeshe kumjal tafuta muda mzuri wa kukaa nae kabla mwaka haujaisha na umuambie sms yake imeiona na uonyeshe ni kiasi gani unajali machungu yake na muahidi kitu.
Mim naona ni jambo jema ila kama linakukwaza kaa nae na umwambie, pia mkumbushe akuombee kila uendako kwa sababu vishawishi ni vingi shetan ana nguvu sana ya kubadilisha mawazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.