Mapenzi basiii!!!

Mapenzi basiii!!!

Wadau nimeamua kuachana na mapenzi ili kuinusuru roho yangu.kuna jirani yangu mmoja alikuja kwangu asubuhi kwa vile nilikuwa na mazoea nae nikamkaribisha mpaka ndani but nilishangaa kuja kwangu akiwa na khanga moja alifika na kutupa khanga na akaanza kucheza na kukata mauno mbele yangu ...daah mwanaume nikaamua kumchapa nilimchapa fimbo sita na mastyle ya kutosha kiukweli mke wa mtu yule alinikubali sana.baada ya mechi ile yule mdada akaenda kusimulia wenzie basi toka siku ile kila mwanamke hapa kitaa akataka nimpe muhogo wa jang`ombe wote niliwapa magoli ya kutosha hali hii imenifanya niwe maarufu sana but sitaki tena.nimeamua kutulia kidogo

hahahahahahahahahahahaaaaaa!!!!!!

aaaaahaahahahaaaaaaa!!!!!

dogo unasoma marketing?

hahahaaaaa!!!!!!

jamani nimecheka mpaka basi!

nilipofika kwenye basi, nikajiuliza sasa concept ya 'mapenzi basi' sasa iko wapi?

form one bana!!
 
.haya tumekusikia, na siku waume zao wakiku-0714 uje utujuze..
 
Back
Top Bottom