Maji Ya Baraka/Uzima - (Mke Wangu Niamini Tu)

Maji Ya Baraka/Uzima - (Mke Wangu Niamini Tu)

Kwa imani niliyonayo!!! suppose anakuwa kipofu kwa maombi yangu si mtanikimbia hapa JF kwa usumbufu

Kama amekusaliti hatakubali kumwagiwa maji hayo!Sana sana atakwambia unajua mume wangu maji yenyewe yamebaki kidogo,blablablaaa kibao,we moyoni utakuwa umeelewa.
 
Pia chunguza kama ameanza kwenda kusali haya makanisa ya `kiokovu`, huko pia wanaribiwa sana kwa kuaminishwa vitu visivyokuwa na maana.

Yap! Hii inawezekana maana watu hawa imani yao huwa ni kali wakisha aminishwa
 
Haya ndio matatizo mengine ya kutaka msaada JF. unaweza ukazimia wasipotokea watu wenye kuelewa kutatua matatatizo

^^
Umenena kweli !! Watu wa aina yangu ni tatizo ndani ya JF ombi letu mtuvumilie kama tunavyowavumilia nyinyi kwa kuleta maelezo ya upande mmoja ili tuhalalishe tabia zisizopendeza ktk jamii.
Jungu la mama laweza kuwa kuu lakini ukoko wa pembeni ukakusaidia kuziba robo ya njaa.
Nivumilie
Mwenyeminazi
^^
 
Last edited by a moderator:
Muombe akuamini tu na kwamba maji ya Baraka yanaweza yasiwe chanzo au kigezo cha kutoaminiana au kuaminiana
 
Mim naona ni jambo jema ila kama linakukwaza kaa nae na umwambie, pia mkumbushe akuombee kila uendako kwa sababu vishawishi ni vingi shetan ana nguvu sana ya kubadilisha mawazo.
 
duh makubwa!! wivu mwingne bwana hatareeeee.........!
 
Mkeo akuamini Tu, licha ya kuwa hata wewe mwenyewe hujiamini. Anza kusafiri nae mkacheze mechi ulaya

Hahaahaahahaha🙂 Mechi za UGENINI...Huwa zinanoga kikweli kweli hizoo
 
hahahah mhh mwache tu mkeo afanye kazi yake maana ww unajijua ulivyo....imani yake itamponya hata kama ukija na jiugonjwa lako...chezeiya maji ya baraka ww!
 
Huyo ana cheat big time kwako.
Hapo anapotezea usifuatilie.

Hata mimi hizo ndo hisia zangu,ndo maana nikashauri na yeye mke amwagiwe hayo maji ya baraka!Ndo yale yale,eti mwanamke anakuambia fulani kanitongoza,ahhh!
 
Samahani kaka...huwezi kutuwekea Plot no. na no ya nyumba yako ili tuje kumfariji shemeji kipindi ukiwa nje ya nchi?
 
Usihofu mkuu anatimiza neno la Mungu kuwa mwanamke atamlinda mmewe......kukombea may be kashindwa sasa anatumia njia hii maana anajua utakuwa na hofu kufanya huko nje kwa kuogopa kuja kupakwa mayi ya baraka.
 
Je ni kweli kwamba huwa unacheza hizo mechi za kirafiki ukiwa huko safarini?
 
Back
Top Bottom