Nashindwa kumsahau..

Nashindwa kumsahau..

aliugua kichwa kwa muda wa maasaa ghafla nikaambiwa kafark..

Pole sana. Kifo cha ghafla kinaumiza na ni kıgumu kusahau. Baada ya muda utasahau.

Mwombe na mshukuru Mungu kwa kila jambo. Huenda kakuepusha na uchungu mkubwa zaidi.
 
dah haya mambo uyasikie tu kwa mwenzako pole sana kuondokewa na mwanandani wako.Muombe Mungu na ujiunge na social clubs kama ulivyoshauriwa.It is real paining.
 
Sasa mbona unasema bahati nzuri Mungu akamchukua tena,mi nlijua kwako ingekua bahati mbaya

Pole sana lakini
 
Sasa mbona unasema bahati nzuri Mungu akamchukua tena,mi nlijua kwako ingekua bahati mbaya

Pole sana lakini
ni bahati zuri kwani 2natakiwa kumshukuru mungu kwa kila atendalo kwa mwanadamu.. nami namshukuru pia
 
Njia pekee yakusahau hayo yote ,,,,,kabizi maisha yako kwa yesu kristo,,kwasababu yeye ni mume wawajane,,,mtezi wawanyoke,,baba wayatima nk.....
 
Wewe ulimpenda ila mungu amempenda zaid jina lake lihimidiwe. Pole sana ila mtumain mungu kwa kila jambo. Mungu akupe wepesi wa haya uyapitiayo
 
tafuta cha kukuweka busy , kadri muda unavyoenda basi utafanikiwa kumsahamu...........

pole sana , na shukuru mungu kwa kila jambo.
 
Daah pole xana kwa yaliyokukuta...bt to heal da broken heart needs tym
 
Pole mpenzi mungu akupe roho ya ustaamilivu
 
pole sana ,kumsahau sio rahisi bt kadiri muda unavyokwenda utamsahau.jaribu kuikubali hali na kujitibu moyo wako kwa kufanya zaidi vitu unavyovipenda na vinavyochukua sehemu kubwa ya ubongo wako,Mtangulize Mungu siku zote hakika utafanikiwa,wengi yamewakuta hayo na sasa ni historia.
 
Pole sana...
Fanya kila kitu kwa kiasi...remember,too much east is west...
 
Enh pole my d kdg kdg utamxahau ts hard kumxahau mtu uliempenda kwa mara moja juz give ua self tym
 
1383348900250.jpg
Pole sana...Mungu yupo utampata anayekufaa zaid....
 
Ayubu 14:13-15... Hilo ni andiko linaloonyesha namna Mungu hapendezwi na kifo kwakua Mungu hakutuumba ili tufe... Na zaidi mistari hiyo inasema kua ipo siku Mungu atawaita wafu wote makaburini kutia ndani huyo mwenzio nao wataisikia sauti yake na kutoka kaburini... jambo hilo linapatana na akili kwakua hata kupitia Yohana Mungu anazungumzia ufufuo(Yohana 5:28,29) hivyo ni matumaini yangu kuwa siku moja tutamuona tena mpendwa wetu..

Jambo la kupendeza zaidi ni kwamba upo wakati kifo hakitakuwepo tena(ufunuo 21:4).. Pia katika mistari mingine BIBLIA TAKATIFU inatusadikisha kwamba kifo kitamezwa... Hivyo pole kwa yote ila Mungu yupo na hapendezwi na kifo.. Sali sana Mungu atakupa nguvu na utaweza kupambana na hisia zisizofaa(wafilipi 4:13).

Na zaidi mbali na maandiko hebu jaribu kubadilisha mazingira.. hama eneo unaloishi.. badilisha hobby ikiwezekana.. jichanganye na watu.. jifunze mambo mapya kila siku ktk nyanja tofauti.. uwe na mshuko jua mwema
 
Njia pekee yakusahau hayo yote ,,,,,kabizi maisha yako kwa yesu kristo,,kwasababu yeye ni mume wawajane,,,mtezi wawanyoke,,baba wayatima nk.....

yesu atampata wapi saivi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom