Na jambo jingine ni rushwa iliyokithiri na kukosa weledi kwa Manager wa hicho kituo.Huyo ndio amekua gonjwa kuu la hicho kituo.Mtu huyo amekua na vyanzo vyake binafsi vya kumuingizia kipato isivyo halali kwa njia ya rushwa.Mfano;Kuna aina ya biashara zilikatazwa ndani ya kituo hicho,lakini yeye...
We mnges.e kweli wewe...,kata 6 ndio matumizi mabaya ya rasilimali?Je yenye 13,14,16 ndio matumizi mazuri ya rasilimali?Stupid kabisa,kama umeishiwa vya kuandika soma vya wenzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.