Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

Mikoa 7 kufunga Kampeni za CCM Tanzania

kuna press conference ya CDM/UKAWA walisema Lowasa atashinda kwa asilimia 61 nadhani nao wanataka kuja na propaganda kama kawaida yao,watch this space
 
Mkutano utakuwa wa kuwakaribisha wamasai uchwara toka sehemu za arusha hasa mkoa wa Manyara waliofadhiliwa na Ole sendeka na ccm yake kuja dar kummalisa EL .Mungu yuko nasi hata ieweje wamechelewa kwa hizo propaganda

Toka sehemu za arusha,hasa mkoa wa manyara?
 
Wakuu,

Leo saa Saba mchana, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitakuwa na mkutano na waandishi wa habari katika Ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es Salaam.

Nitawaletea moja kwa moja kile watakachokuwa wanakizungumza wa ajili ya Watanzania.

sawa asante kwa taarifa
 
Lowassa tayari kakubali kwenda kuchunga ng'ombe monduli, biashara imeisha, kapima upepo kagundua hii ndio suluhu yake!Hongera sana
 
Lowassa tayari kakubali kwenda kuchunga ng'ombe monduli, biashara imeisha, kapima upepo kagundua hii ndio suluhu yake!Hongera sana
Hata Obama alisema atarudi kufundisha,je alirudi?

Kama Dar ambayo ni CCM stronghold Magufuli anazomewa hawezi mshinda Lowassa!Uchaguzi umeisha huu LAIGWAN ndiye Rais mpya wa TZ
 
Waeleze hawa vijana wanafikiri hii nchi imeota kama uyoga. Wataanza kulia nyau sasa hivi.

AAfENUG.img


Hako Ka-Jambazi Sugu kameshakubali
kwenda kuchunga ng'ombe Monduli


unabokolewa nini wewe?
 
Ajali si madhara. Kuwa makini unapopotosha.

Madhara ni kama kujinyea mbele za watu. Kutokuwa na kumbukumbu, kushindwa kuongea.


na yule aliyepitishwa mikasi kwenye kinyeo kutoa tezi dume mbona humsemi? au umesahau walibana kinyeo na steple pins
 
Hata Obama alisema atarudi kufundisha,je alirudi?

Kama Dar ambayo ni CCM stronghold Magufuli anazomewa hawezi mshinda Lowassa!Uchaguzi umeisha huu LAIGWAN ndiye Rais mpya wa TZ

Well said Mkuu,wenye akili zetu tunalitambua hilo
 
Lazima kujifanya kuheshimu sheria bila SHURUTI ili kulinda tunu yetu ya AMANI.Katika maneno yao yote hutasikia kuitaka TUME YA UCHANGUZI itende HAKI hilo neno la haki huwa CCM hawajui.Namkumbusha NAPE,HAKI huzaa AMANI.Kama haki ipo hata mita 200 hakuna haja ya kuongelea.
 
Hata Obama alisema atarudi kufundisha,je alirudi?

Kama Dar ambayo ni CCM stronghold Magufuli anazomewa hawezi mshinda Lowassa!Uchaguzi umeisha huu LAIGWAN ndiye Rais mpya wa TZ

Yaani ubungo ndio DSM, na mbagala ni wapi, posta, kino, mikochen,mbezi, mwenge, makongo, ????????huko kote ni Arusha??Kuzomea ni uhuni haimaanishi ni dalili ya kufanikiwa,Rika linalomuunga mkono mamvi ni miaka 15-25 walio wengi na hizo ndio tabia zao, vijana watu wazima 25+ hawawezi kufanya upuuzi huo!
Narejea tena hili, mashabiki wa simba kuzomea kocha wa Yanga haimaaanishi Yanga itafungwa mechi, matokeo yapo uwanjani, wala haimaanishi kuna shabiki wa Yanga atahamia Simba kwa kuwa kocha wao kazomewa!
 
unabokolewa nini wewe?

Umefahamuje wewe si ndio ulikimbia kwenye cow shed au umesahau? Khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee hizo peremende unazolamba mwisho J2 khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom