Maramla
JF-Expert Member
- Jan 8, 2014
- 581
- 642
Kati ya wasanii ninaowakubali ni huyu jamaa clouds 360 ipo hewani anamchemsha sana KIBANDA mwenyekit jukwa la wahariri...anampiga maswali kibanda yuko kimya suala kubwa nililopenda ni alipohoji uhalali wa viongozi kuhama chama kimoja kwenda kingine...anauliza ni kwanini wanasiasa wanahama vyama na sababu wanazotoa sio za kuikomboa nchi na wananchi kwa ujumla...ila ni kwa maslahi zaidi...akamtolea mfano LEMBELI .....baada ya clip yake kuwekwa...HATARI SANA KIBANDA KATIWA AIBU