Kwanza Inaonenakana Umetumwa Maana Haujui Hata Silinde Ni Mbunge Wawapi, Kwa Taalifa Tu Ni Kwamba Silinde Ni Mbunge Wa Momba Na Si Mbozi Kama Ulivyoambiwa, Pili Mbunge Huyu Amekuja Kuwashukulu Wananchi Wake Amepata Mapokezi Ambayo Hata Marais Wenu Hawajahi Kupata Gali 84, Pikipiki 172, Bajaj 46, Kwenye Suala La Ahad Silinde Ametimiza Ahadi Zake Asilimia Miamoja, Amechimba Visima Vya Maji Kwa Pesa Yake Ya Mfukoni Kila Pembe Ya Mji, Amenunua Magodolo Na Mashuka Maospilini Kila Ospitali Iliyopo Jimboni Kwa Pesa Yake Ya Mfukoni, Amefanya Vitu Vingi Sana Katika Jimbo Hili, Na Ni Moja Ya Wabunge Watakaotangazwa Mapema Kabisa Baada Yakupigiwa Kura Hapo Tarehe 25 October,