Recent content by bb81

  1. B

    Naj ni mwanamke mzuri sana

    She is so beautiful,ametulia sio km wale nyumbu leo huyu kesho yule,huyu binti ni mrembo na ametulia,big up Naj Datan[emoji123][emoji106]
  2. B

    Jeshi la polisi kurusha live kesi zinazowahusu wanajeshi hadharani mnatengeneza bomu litakalowalipukia wenyewe

    Ndo mana na wao police wakipata pa kuwakamatia , wanakamatia haswaaaa
  3. B

    Majibu kwa wote wanaodhani Joseph Mbilinyi(Sugu) kapoteza sifa ya kuwa mbunge

    Hahahaaa kama leo mmekuwa wapole hivyo kina msigwa na lema wanaogopa hata kutembea watahisiwa wanaandamana sembuse tar 26,haya yetu [emoji102][emoji102]
  4. B

    Taja jina la movie ulioitazama zaidi ya mara 5 lakini bado hujaichoka

    Olympus has fallen, Airforce one Love jones How stella got her groove back Friday Rush hour ,hizo chache,zipo nyingi sana.
  5. B

    Tumeokota

    Ndo kazi waliyobaki nayo,wamebaki kukosoa tu
  6. B

    Gay lions spotted in Kenya's Maasai Mara

    Sure uko sahihi kbs
  7. B

    Godbless Lema: Nimempekala Mtoto Agakhan Hospital Bima (NHIF) Imekataliwa!!

    Huyu nae , toka lini Aga khan wanapokea NHIF? Lema umeishiwa kiki nn mkuu?[emoji2][emoji2]
  8. B

    Vifaranga vya kuku 6,400 vyateketezwa kwa moto baada ya kukamatwa vikiingizwa nchini kinyume na sheria kutoka Kenya

    Kama havikuwa na ugonjwa wowote c wangevipiga mnada,mil 12 ni nyingi sn,ingesaidia shughuli za maendeleo,daah kwel akili ni nywele kila mtu ana zake
  9. B

    Vifaranga vya kuku 6,400 vyateketezwa kwa moto baada ya kukamatwa vikiingizwa nchini kinyume na sheria kutoka Kenya

    Hkn haja ya kuwa na waziri anaeruhusu ukatili huu,hivyo vifaranga c wangevipiga mnada pesa iingie serikalini ifanye shughuli za maendeleo?au wangevigawa kwa wananchi vijijini huko wavifuge, nimesikitika sana,hiyo ni pesa tena nzuri tu , huyu wazir alieruhusu hili anatakiwa kuchekiwa akili km...
  10. B

    Meneja wa Peacock Hotel akamatwa kwa kutoa ukumbi kwa watu wanaohamasisha ushoga

    Watawakamataje wkt hawajulikani?acha wakamate hao hao wanaojulikana mkuu
Back
Top Bottom