Hahahaaa kama leo mmekuwa wapole hivyo kina msigwa na lema wanaogopa hata kutembea watahisiwa wanaandamana sembuse tar 26,haya yetu [emoji102][emoji102]
Hkn haja ya kuwa na waziri anaeruhusu ukatili huu,hivyo vifaranga c wangevipiga mnada pesa iingie serikalini ifanye shughuli za maendeleo?au wangevigawa kwa wananchi vijijini huko wavifuge, nimesikitika sana,hiyo ni pesa tena nzuri tu , huyu wazir alieruhusu hili anatakiwa kuchekiwa akili km...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.