Congratulations kwa fight ya namna hii at your age. Tulio wengi umri huu na kisomo ni patashika. Mshukuru Mungu kukupa upeo mapema. Kukua kwa mwanaume na pamoja na uzani wa upeo. Kudos nyingi Braza
Kabisa halafu vigeu geu na hata jema gani tukitendewa hatuoni wema wake yakitukuta ndo kelele nyingi kwa serikali..wakati serikali inachukua hatua watu tena wanabeza lol!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.